Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ni kweli Rooney na Carrick waliruka lakini wrong positioning hawakuona ndani. Sidhani Carrick kama ataongezewa mkataba ni mzigo mzito

Mkuu, I beg to differ, ofcoz tumekosa umakini flan mbele lakini Carrick huwezi kusema ni mzigo pamoja na umri kumtupa. Uwepo wake unaonekana.

Tukubali tu kuwa msimu huu tumekuwa na kikosi finyu sana na ndio maana majeruhi imetuathiri sana.
 
Back
Top Bottom