Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kucheza vyema ni kuzuia mabao. Welbeck kapiga free header on his watch. Kama Jones hakukaba mtu ila alidanganywa na mpira. Juventus huwezi kuwafunga free header. Tuanzebe alikuwa amsukume tu asingefunga
Goli la pili kosa la kwanza amefanya Darmian kumruhusu Chambo kupiga krosi then Smalling ndio CB ndio alipaswa kuokoa ule mpira,Tuanzabe kacheza RB.Waliofanya makosa ni Darmian na Smalling.Tuanzebe amefanikiwa kuwazuia Sanchez na Gibbs
 
Asema khofu yake ni mechi ya Alhamisi na Celta de Vigo wamepumzisha wachezaji wao kwa kipindi kirefu
 
Tuanzebe kacheza vizuri tu sijamuona sanchez kabisa na goli la welbek ni kosa la smalling na wenzie.
Mourihno kaamua kucheza pata potea leo kisa ueropa sasa huko wakapigane kufa na kupona maana bila hivyo usiku wa champions league tuusahau.
Hii timu zaidi za wachezaji 10 ni kuwauza tu.Sikutegemea kufungwa na arsenal aisee tumeruka city na chelsea tufungwe na arsenal dah.
 
Ahahahahaha ....kaaamaa nilijua vileee ahahaha ....nafasi ya sita ileeee Wenger banaa. ..heshima lazima irudi mjinii, kelele zilikuwa nyingi sana ...Hahaha na bado Toti anakuja kumaliza kabisa. .hili mambo yaende sawa. Hahahahahaha
 
Nadhan maurino ataendelea kumchukia Martial na huenda hata kumuuza
Sahihi kabisa lakini ni adhabu ambayo yeye ndio msababishaji wa Makosa,Martial sio mzuri kubaki peke yake mbele kama mshambuliaji wa Mwisho
 
Kipindi cha pili tumechenza ovyo sana aise ,ila sikujua plan ya Jose Leo simulaumu huenda kwa sababu ya game ya alhamis ,
Risk analysis sio nzuri sana aisee,hii kamari aliyoicheza leo Mou itamsumbua katika historia ya maisha yake katika soka.

Vema tukashinda game ya Alhamis,Celta vigo wakitushangaza basi ndio utakuwa Mwisho wa Mou.

Ila Celta Vigo alhamis watakaa Mapema sana.
 
Bless arsenal fans......

The win keeps them 6th with no trophy again and its lyk they've won the world cup today.
 
Mashabiki hawapendi kushambuliwa hivyo kama ilivyokuwa leo. Mourhnio hawezi kupendwa na hao Mashabiki labda abebe ndoo ya Europa
 
kama namuona mme wangu atakavorudi kavimba
yani nmefurahi
Sasa ole wako ufanye blander jikoni aisee;chumvi iongezeke kidogo,hasira zote zitaishia kwako aaaah aaaah aaaah aaaaah, Asernal leo wamenikosesha furaha,usiku utakuwa Mbaya kwangu
 
Asema khofu yake ni mechi ya Alhamisi na Celta de Vigo wamepumzisha wachezaji wao kwa kipindi kirefu
Hapa namuelewa sana,yeah jamaa waliwaacha wachezaji wao wa 1st eleven kama game tatu hivi nje ili waje kucheza na United,Not bad tuna goli moja mbele afu ugenini,Old T tunamaliza shughuli tuisubiri ajax fainal.
 
Back
Top Bottom