Sasa ukoje mkuu?

Umefurah mwenyewe,any way Hongera kwa Zawadi aliyowapa Morihno leo,otherwise nyie bado wateja wetuKuna tatizo hapa mkuu?
Hahahaaaaa
Aah wapi tutamaliza nyuma ya Arsenal, nafasi yetu ni ile ile ya 6I am disappointed with performance today imekua kama kawaida yetu pale tunapokua kwenye position ya grab top four position we just don't deliver....nafikiri imeshaandikwa tayari we will finish below top four but above Arsenal
yaniSasa ole wako ufanye blander jikoni aisee;chumvi iongezeke kidogo,hasira zote zitaishia kwako aaaah aaaah aaaah aaaaah, Asernal leo wamenikosesha furaha,usiku utakuwa Mbaya kwangu


hata ukimpa pole anaona kama kejeliacha tuleo ukae nae mbali, mapenzi ya mpira achana nae.
Kichaa kinakuanzaaMourhnio ampigia mahesabu Ozil na tusishau walikuwa wote Real Madrid. Kama Mourhnio akifanikwa mathalani kuwasajili wote wawili Ozil na Sanchez kutoka Arsenal muziki wetu hakuna wa kuacha kuucheza na kujisalimisha
Ai sioRisk analysis sio nzuri sana aisee,hii kamari aliyoicheza leo Mou itamsumbua katika historia ya maisha yake katika soka.
Vema tukashinda game ya Alhamis,Celta vigo wakitushangaza basi ndio utakuwa Mwisho wa Mou.
Ila Celta Vigo alhamis watakaa Mapema sana.
Napita tuu si mkaaji sana nitarudi baada ya alhamis kupita![]()
![]()
![]()
mkuu leo umerudi....
Karibu sana na hongereni kwa leo
Kiwango chake cha kubahatisha siku hizi aisee.Mkuu Bailly hizi picha za Martial naogopa hata kugonga like kijana ananisikitisha sana sikuhizi