Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Poleni humu Wakuu kwa kipigo cha leo. sister kama nakuona vile ulivyonyong'onyea ghafla tu unajisikia kuumwa umwa.
hamna niko swafi kabisa na wine yangu sina shida, nasubilia nikalale tu leo mapema kesho niwahi kibaruani.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hii game ya leo Mou ndio alaumie kwa kiwango kikubwa,hakwenda Emirates kutafuta Ushindi, alishakubali kufungwa kisaikolojia,na hata game plan inaonyesha hivyo, amepanga kikosi ilimradi amepanga nia ni kuwapumzisha baadhi ya wachezaji.

Ona formation,aina ya wachezaji,baada ya kufungwa magoli mawili ya haraka haraka akachanganyikiwa,unamuingiza Rashford afu unamtoa Herera Seriously?

Darmiana amekuwa uchochoro kwa kiasi kikubwa.

Martial nafasi aliyocheza haikuwa sahihi na kumsababishia kucheza chini ya kiwango.

Rooney msimu ujao atafute timu.
Phil jones pia atafute timu tutafute bek ingne... Chris ajipme kama kweli ana deserve 1st 11
 
Wamefungwa magoli ya kijinga mno sidhani kwa reserve hawa Manutd inaweza kushinda EPL na huku wako kwenye champions league
 
Kucheza vyema ni kuzuia mabao. Welbeck kapiga free header on his watch. Kama Jones hakukaba mtu ila alidanganywa na mpira. Juventus huwezi kuwafunga free header. Tuanzebe alikuwa amsukume tu asingefunga
Lile la goli la smalling na tuanzebe
 
Back
Top Bottom