Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Msimamo wa EPL uko vizuri baada ya Liverpool kutoa sare:-

Screenshot_2017-05-07-18-51-07.png
 
Man u fans wamekuwa wana mu underrate sana Rooney, kuna kipind kweli alikuwa anazingua ila kwa aina ya wachezaj walioko man u kwa sasa, bado Rooney angeweza akapata namba kiroho safi.
Mf. Rooney anaweza fanya kosa moja likaonekana zaid ya Ibra akifanya kama hayo manne, sijui ndo damu/ nyota ama vip!
Rooney anapata namba siku hizi,bado una maoni hayo ?
 
Back
Top Bottom