Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Tegemea robo SAA ya kipindi cha kwanza Southampton kutafuta magoli ya harakaharaka kama ile mechi ya Chelsea
Ikakaa vizuri kila la kheri captain wetu mchango na utumishi wako hauta sahaulika hapa old TraffordWayne Rooney's agent has flown to China to speak to clubs trying to sign the England captain from Manchester United.
Paul Stretford is holding talks with Chinese Super League clubs who want to sign Rooney before their window closes on Tuesday.
Guangzhou Evergrande, Beijing Guoan, Jiangsu Suning and Tianjin Quanjian are the interested clubs.
Man u fans wamekuwa wana mu underrate sana Rooney, kuna kipind kweli alikuwa anazingua ila kwa aina ya wachezaj walioko man u kwa sasa, bado Rooney angeweza akapata namba kiroho safi.Ikakaa vizuri kila la kheri captain wetu mchango na utumishi wako hauta sahaulika hapa old Trafford
Kweli tupu hii.Man u fans wamekuwa wana mu underrate sana Rooney, kuna kipind kweli alikuwa anazingua ila kwa aina ya wachezaj walioko man u kwa sasa, bado Rooney angeweza akapata namba kiroho safi.
Mf. Rooney anaweza fanya kosa moja likaonekana zaid ya Ibra akifanya kama hayo manne, sijui ndo damu/ nyota ama vip!
Tume kimiss kile kiwango chake..Man u fans wamekuwa wana mu underrate sana Rooney, kuna kipind kweli alikuwa anazingua ila kwa aina ya wachezaj walioko man u kwa sasa, bado Rooney angeweza akapata namba kiroho safi.
Mf. Rooney anaweza fanya kosa moja likaonekana zaid ya Ibra akifanya kama hayo manne, sijui ndo damu/ nyota ama vip!