Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Arsene Wenger amtupia madongo Mourhnio kisa ni kuwalaumu hadharani wachezaji wake. Wenger adai hujitahidi sana kutowalaumu wachezaji wake hadharani kwa kuhofia kuwavunja moyo.

Musimu wake wa kwanza aidha Mourhnio kawalaumu akina Shaw, Mhiki na Martial hadharani ingawaje Mhiki kiwango kilipanda huku Martial kiwango kutoathirika na lawama tajwa.

Screenshot_2017-05-07-10-16-20.png
 
Kocha wa Chelsea Antonio Conte amuunga mkono Mourhnio kuchezesha makinda. Conte asema msongamano wa mashindano mbali mbali itabidi urekebishwe kwani wachezaji huchoka sana.

Screenshot_2017-05-07-10-14-01.png
 
Naye Luke Shaw ambaye kafanyiwa operesheni kaapa kupigania nafasi yake Manutd ili awe chaguo nambari one la Mourhnio.

Nionavyo Mourhnio keshafanya maamuzi yake ni kununua beki mwingine badala ya Shaw hii umiaumia Mourhnio imemchosha na pia kuwahusu Smalling na Jones.

Screenshot_2017-05-07-10-13-34.png
 
Rashford haoni la kumzuia kutoichezea Manutd kwa muda wote wa uchezaji wake.

Kwa Mashabiki wa Manutd kauli hii imekonga mioyo ya wengi....
Manutd for life? Yeah!

Screenshot_2017-05-07-10-15-21.png
 
Kama Arsenal akifungwa leo basi ni Liverpool tu anayeweza kutusumbua kwenye top four ukizingatia Everton jana kafungwa na kabakiza mechi mbili huku ana pointi 58.

Hata akishinda mechi zote mbili zilizobakia, Everton atafikisha point 64 ambazo tayari sisi tunazo huku tuna mechi nne.

Liverpool na Southampton itatoa mwanga kama Liverpool bado wamo kwenye chati ya top four au hawamo.

Screenshot_2017-05-07-10-44-16.png
 
Kwa wapenzi wa LIVE UPDATES za Arsenal v. Manutd tutaanza kuzirusha saa 12 jioni.

Screenshot_2017-05-07-10-46-19.png
 
EPL inaendelea kutotabirika kwani nani jana alijua Spurs watafungwa na West Ham?
Aisee pamoja na uchambuzi wangu kuhusu soka la EPL na analysis za kutosha kutoka kwa wachambuzi Magwiji ndani ya EPL wote tulimpa nafasi kubwa Tot kushinda,hii ni kutokana na aina ya kikosi,hali ya ligi ilipo sasa na nafasi ya Tot Katika kuwania Kombe,ila ndio hivyo West ham akaibuka kwa Ushindi Mwembamba.

So Ushindi ule wa Westham moja kwa moja naipa nafasi kubwa Chelsea kuwa Bingwa this season
 
Top four finish inazidi kuota mbawa baada ya ManCity kumpiga goli tano bila majibu Crystal Palace.

Sare au kufungwa na Arsenal itatuwekea mazingira magumu mno.
Kesho vijana wapaswa kwenda na nia ya ushindi
Hesabu za Mou katika hizi game za Mwisho zinaiweka man U katika nafasi ngumu ya kuingia top 4,tunatakiwa kucheza fainal ya Championship huku tukitakiwa kuingia top 4,afu hapo hapo tunakiwa kucheza na Man City,Chelsea,Asernal.

Hadi sasa tupo katika nafasi Salama.
 
Kesho mou kashasema anachezesha vijana wake sababu top four ishakua ngumu hapa tulipobakiza ni europa tu. Sioni uwezekano wa top four kabisa tukipigwa na celta ndo basi tena msimu ujao europa tena.
Humjui Mou,huwa anasema hivyo lakini his target ni kuwin Vyote UEFA na top 4 on EPL
 
Nionavyo jitihada za Mourhnio kumsajili striker ni mwisho wa Martial
sio mwisho wa Zlatan na Rooney,Martial bado ana nafasi kwa Mou n now amekubali kuweka kando matatizo yake so unaona kiwango chake,bado Man U inamuhitaji Martial
 
sio mwisho wa Zlatan na Rooney,Martial bado ana nafasi kwa Mou n now amekubali kuweka kando matatizo yake so unaona kiwango chake,bado Man U inamuhitaji Martial
Martial Na Lingard Ndo Mwisho Wao Hawana Sifa Zakuchezea Manchester United
 
Martial Na Lingard Ndo Mwisho Wao Hawana Sifa Zakuchezea Manchester United
Hapana bado tunawahitaji ni vijana Wenye vipaji na ari ya kujituma,nadhani ni muda wa kuwalea,dunia sasa haina wachezaji so tunatakiwa kuwaandaa
 
Hapana bado tunawahitaji ni vijana Wenye vipaji na ari ya kujituma,nadhani ni muda wa kuwalea,dunia sasa haina wachezaji so tunatakiwa kuwaandaa
Tukiwatumia Ubingwa Utakuwa Mgumu Sana,kumbuka Kwa Dunia Yasasa Timu Inatakiwa Iwe Na Mawinga Ambao Wanajua Kuscore
 
Back
Top Bottom