Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Achaa nae uyo endelea kutupa vitu tunakufatilia sana .... Fanya mamboNinafikiri ungeanza kutusaidia hizo links app yangu haitoi links ila stories na picha.
If true better aguero than griziman or bellot pesa nying better aguero kwa 55 atleastMourhnio huenda akajaribu kumsajili Aguero kutoka ManCity kwa kitita cha £55mill. Hii ni baada ya kubainika Ibra hatarudia kiwango chake baada ya kuumia goti huku Guardiola kumpanga Jesus zaidi nafasi ya Aguero.
View attachment 505664
Tutabirie tu lakini historia ya Mourhnio na Wenger iko nasi benetiLeo mtapigwa 2-1
Huyo hajui hata alichovaa kimeandikwa nini atakuwaje kibaka wa Manutd![]()
Manure Vibaka United