Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Zlatan imetosha sasa inabidi tu aondoke,kadri siku zinavyoenda ndo anavyozidi kuwa mzito,hana kasi kabisa,na ndo anayepooza mashambuli,na hakika pia angeanza gemu ya chelsea tusingekuwa kwenye kiwango kile.Anamiss chansi nyingi sana na hilo sio jana tu,toka mwanzo wa msimu.Goli alizofunga sio sababu,ila hakika msimu ujao tunatakiwa kuwa na straika mwingine mwenye uwezo mkubwa na kasi ili kuimarisha kikosi chetu..
 
Zlatan imetosha sasa inabidi tu aondoke,kadri siku zinavyoenda ndo anavyozidi kuwa mzito,hana kasi kabisa,na ndo anayepooza mashambuli,na hakika pia angeanza gemu ya chelsea tusingekuwa kwenye kiwango kile.Anamiss chansi nyingi sana na hilo sio jana tu,toka mwanzo wa msimu.Goli alizofunga sio sababu,ila hakika msimu ujao tunatakiwa kuwa na straika mwingine mwenye uwezo mkubwa na kasi ili kuimarisha kikosi chetu..
Mourinho alifanya makosa kumchezesha Zlatan kila mechi bila kumpumzisha ukizingatia umri wake ni mkubwa,Zlatan amechoka ukiangalia body language yake unamuona amechoka.Angalia Carrick licha ya umri mkubwa anacheza vizuri sababu anapumzishwa baadhi ya mechi
 
Breaking:

C97okrxWAAEH1jo.jpg
 
Celta vigo v Man Utd
Ajax v Lyon

Duh, tulikuwa tunamuona Samatta akipashana msuli na Rojo pale OT.
 
Zlatan imetosha sasa inabidi tu aondoke,kadri siku zinavyoenda ndo anavyozidi kuwa mzito,hana kasi kabisa,na ndo anayepooza mashambuli,na hakika pia angeanza gemu ya chelsea tusingekuwa kwenye kiwango kile.Anamiss chansi nyingi sana na hilo sio jana tu,toka mwanzo wa msimu.Goli alizofunga sio sababu,ila hakika msimu ujao tunatakiwa kuwa na straika mwingine mwenye uwezo mkubwa na kasi ili kuimarisha kikosi chetu..
ukweli mtupu mkuu huyu jamaa wakati mwingine anaudhi sana yani akikosa au kunyanganywa mpira hata hakimbii kukaba mzito sawa tunajua umri wake ila anaigharimu timu yani Man U hatukutakiwa kuwa nafasi ya tano tulikuwa tunaongoza ligi au wa pili ukiangalia nature ya game tulizotoka draw OT. Game 22 bila kufungwa bado hatuna uhakika sana wa top four. Tuna game man c, Arsenal na Totenham.
 
Back
Top Bottom