samora10
JF-Expert Member
- Jul 21, 2010
- 7,607
- 4,817
Moyes yule..Kitu kizuri tutamalizia home
Nakumbuka mara ya mwisho tulisumbuliwa na Athletico Bilbao sijui
Moyes yule..Kitu kizuri tutamalizia home
Nakumbuka mara ya mwisho tulisumbuliwa na Athletico Bilbao sijui
Bilbao ya Ander Herrera na Ike Munian.Kitu kizuri tutamalizia home
Nakumbuka mara ya mwisho tulisumbuliwa na Athletico Bilbao sijui
Alitupa aibu tupuMoyes yule..
Nakumbuka siku hiyo nilikasirika kinoma bado kidogo niue paka wangu kwa hasiraBilbao ya Ander Herrera na Ike Munian.
Alitupa aibu tupu
Nakumbuka siku hiyo nilikasirika kinoma bado kidogo niue paka wangu kwa hasira

Duh acha tuSio Moyes ni Babu.![]()
Laccazete je hafai auZlatan imetosha sasa inabidi tu aondoke,kadri siku zinavyoenda ndo anavyozidi kuwa mzito,hana kasi kabisa,na ndo anayepooza mashambuli,na hakika pia angeanza gemu ya chelsea tusingekuwa kwenye kiwango kile.Anamiss chansi nyingi sana na hilo sio jana tu,toka mwanzo wa msimu.Goli alizofunga sio sababu,ila hakika msimu ujao tunatakiwa kuwa na straika mwingine mwenye uwezo mkubwa na kasi ili kuimarisha kikosi chetu..
Atakuwa kapotea njia, kwanza Mane wewe si majeruhi? Ya uwanjani tuachie tulio fit for matchesKeep Dreaming for Your false hope.....
Taratibu Chelshi wasikusikie, kushinda raha sana.Nipo zangu napumzika naangalia highlight reply ya Man United na Chelsea yaani jamani acha tu ilikuwa raha sana ilikuwa bonge la match!!! natamani hata Dstv wairudie tena![]()
![]()
Hahahahaha Herrera alilipiza ile red aliyopewa alitekeleza wajibu wake haswaaa!!Taratibu Chelshi wasikusikie, kushinda raha sana.
Aah dstv wametoka kuirudia imeisha half an hour ago..nishaiangalia mara sita hivi....Nipo zangu napumzika naangalia highlight reply ya Man United na Chelsea yaani jamani acha tu ilikuwa raha sana ilikuwa bonge la match!!! natamani hata Dstv wairudie tena![]()
![]()
babu alipigwa nje ndani bilbao ya akina martinez ilikua sumu balaa kocha unai emery wa psgAlitupa aibu tupu
Nakumbuka siku hiyo nilikasirika kinoma bado kidogo niue paka wangu kwa hasira
Yaani haichoshi hamu kuangalia!!!Aah dstv wametoka kuirudia imeisha half an hour ago..nishaiangalia mara sita hivi....
Duhh!! Kumbe aliumia sana eeeh? Aisee!! Apone haraka, vipi naye Rojo anaendeleaje?Zlatan Ibrahimovich will miss the rest of the season.
Umepotea dadanguYaani haichoshi hamu kuangalia!!!
We pita tuu.Umepotea dadangu
Inasadikika kwamba naye ROJO anaeza miss mech zote zlizobaki.Duhh!! Kumbe aliumia sana eeeh? Aisee!! Apone haraka, vipi naye Rojo anaendeleaje?
Kaka yangu acha tu majukumu yamenibana mpka basi,ila nitakosekana kote ila si humu,wewe ukinikosa kote njoo humu, vipi u mzima wewe?Umepotea dadangu