Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mhhh!! Sijakuelewa!! .....tactics za Mou...siyo uwezo wa wachezaji ....then Man U wamepiga mpira hatari???...mhhhh!! wapigaji wa hatari walikuwa kina nani?....waliozifuata tactics kina nani?......
Wa kwanza herera...huyu niliona alivyotambaa na hazard... Akina rojo na baily costa leo atasimulia yaliyomkuta! Fellain leo kapafom sana...kifupi timu yote leo imefanya maajabu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…