Mhhh!! Sijakuelewa!! .....tactics za Mou...siyo uwezo wa wachezaji ....then Man U wamepiga mpira hatari???...mhhhh!! wapigaji wa hatari walikuwa kina nani?....waliozifuata tactics kina nani?......
Wa kwanza herera...huyu niliona alivyotambaa na hazard... Akina rojo na baily costa leo atasimulia yaliyomkuta! Fellain leo kapafom sana...kifupi timu yote leo imefanya maajabu!!
Next season Ibra aondoke zake aje Grizman asaidiane na Rashford pale mbele.. tupate na midfielder mwingine na winger Mwenye kasi zaidi.. ubingwa wetu bila ubishi..