Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tatizo la Manutd siyo Luke Shaw bali timu nzima haijiamini

Screenshot_2017-04-05-19-26-12.png
 
Mourhnio anaongoza kwa rekodi mbaya ya ushindi kuanzia mwaka 1974 katika historia ya Manutd

Screenshot_2017-04-05-19-42-57.png
 
ivi ferg hajawah hata kwenda kuwasalimia mazoezini na kuwatia morali wachezaji
 
Mourhnio aonyesha msongo wa mawazo akiwa London ni vipi madoroooo badala ya ushindi


View attachment 491496
Huyu kasha fail, Manchester United imekua kubwa kuliko uwezo wake
Kwanza tujiulize, kibarua chake kipo jiji la Manchester ila yeye analala London na ikitokea kalala jiji la Manchester analala Lowry hotel, msimu unaisha huu hana makazi rasmi

Muda utaeleza
 
Griezman alishakataa ofa

Neymar ni aghali mno
AC Milan wanapitia magumu ambayo man utd wanapitia now!

Hata wamsajili Messi, cr7, griezman, hazard N.k bado hawatafanya kitu,

Timu imefikia kikomo!
 
AC Milan wanapitia magumu ambayo man utd wanapitia now!

Hata wamsajili Messi, cr7, griezman, hazard N.k bado hawatafanya kitu,

Timu imefikia kikomo!
ligi ya italy ilishajifia ndugu
 
Pamoja nakuondoka nafasi ya sita, sioni kama tuna timu ya kupigana kuingia top four, badala yake naona tumeondoka kwa muda tu hiyo nafasi ya sita, wiki 3 zijazo uhakika tutakua nafasi ile ile ya 6 kama sio ya saba, hasa ukiangalia ratiba tulionayo, timu nyingi tulizobaki nazo ni ngumu na tunacheza nazo bila kupumzika
Heheheh
Hamia kwa hao wanaojua kupigania top four hujalazimishwa kushabikia UNITED unazidi kujiongezea stress

Duh mkuu hayo ni maoni yangu si lazima ukubaliane nayo, kama hupendi kusikia tofauti na unavoona wewe, hama wewe, mimi sio mshabiki maandazi kama wengi wenu humu walivo

Hawapendi kuambiwa ukweli, kama mechi za kawaida kina bounimouth, banley, stock city westham tumeshindwa kuondoka na point, utarajie chelsea, man city, spurs, everton, arsenal utachukua point? Shida ya mashabiki wengi humu wa man utd ni watoto, wameanza kuishabikia united kuanzia mwaka 2011

Shukran, washabik maandazi humu hawana wanachojua kuhusu soka, wanaongelea ushabiki, anaejua mpira anajua manchester anawezo mdogo mno wa kuingia top 4, ukweli ile nafasi ya sita tumeondoka kwa muda tu, wiki 3 zijazo nazani tutarudi pale pale, haya ni maneno nayarudia

kwani tuko mbali kiasi gani kuingia top 4??kuna tofauti ya point ngapi??hata kama timu ni dhaifu yaani mnaona ni dhaifu kuliko arsenal na liverpool ambao kimsingi ndio maadui wakuu wa kuingia top 4??ubora wa kikosi.....hivi Fergie mwenyewe amechukua ubingwa mara ngapi akiwa na vikosi vya kawaida tu??kama alichukua ubingwa kabisa na vikosi vya kawaida kabisa kwanini sisi na kikosi hiki iwe ngumu kuingia top 4??

namalizia kwa kusema,Fergie anachotaka ni makombe,amewatisha tu wachezaji wakazane kubeba hilo kombe la Europa,btw ni kuua ndege wawili kwa jiwe moja

Ukiacha kuwa na mechi nyingi I believe United inaweza kumaliza top 4,so far only Chelsea na Spurs ndio timu zenye uhakika kumaliza top 4 kwa kuwa form yao ni consistency kulinganisha na Liverpool,Arsenal,Man City ambao wako kwenye form mbovu hasa defence.Tuombe tusipata majeruhi kwenye hichi kipindi kilichobaki

SAF wakati anapewa timu aliwaambia ataondoa utawala wa Liverpool wapo waliombeza lakini aliamini ataweza hiyo kazi na hatimaye aliweza

Wakati Mourinho amepewa timu alisema atapigania kila kikombe atakavyoweza na tumeona alichofanya so far,Siku zote mashabiki wa Manchester United sio wa kukata tamaa

Kama ni suala la imani, endelea kuamini, ila uhalisia hakuna timu ya ushindanipale, kwani hao liva na arsenal ubovu wao wameanza jana? Zaidi ya miezi 4 wanasuasua, siku wakiharibu gemu zao ukitegemea untd itatake advantage nao pia wanaharibu, na hiyo imetokea kwa zaidi ya mechi tano, so ukiongolea ubovu wa vikosi vya liva, arsenal na man city bila shaka utd itakua imeoza, maana kama ingekua na afadhali wangetake advange
Kuhusu suala la majeruhi mi naona wachezaji wote wana viwango sawa tu, kukosekana kwa mchezaji wowote pale hakuathiri timu chochote, mliona kuna watu walidhani kukosekana kwa pogba zlatan na herera kungeathiri mchezo uliopita, matokeo yake yalikua ni yale yale tu timu kucheza kwa presha kubwa kama ambavo wao wangekuepo

Kwani hiyo tofauti imeanza leo?

Naona una mentality ya mashabiki wa Arsenal ndio maana nilikwambia unapata tabu kushabikia United , football inachezwa uwanjani sio mdomoni na sio rahisi kama unavyodhani,kama United ilishindwa kumpita Arsenal mechi 4 zilizopita ndio kamwe haitaweza kumpita ?

So umuhimu wa Baily ni sawa na Smalling? Fellaini ni sawa na Herrera ? Mkhitaryan ni sawa na Lingard ?


Wako wenzio hapa msimu ulivyoanza walikuwa wanasema Moyes,LVG walifanya kazi nzuri kuliko Mourinho now wamekaa kimya itafika wakati nawe utakaa kimya

Mshabiki aliyejikatia tamaa.. Nina uhakika kabisa mwanzo pia ulisema hatutafika hatua hii Europa.

Mimi sio mshabiki maandazi kama wewe usietaka kuambiwa ukweli, nimeanza kuishabikia utd kitambo, naujua mpira vuzuri, wewe na wenzako mnaongelea ushabiki tu,
Yes hakuna tofauti yoyote kati ya hao uliowalinganisha na jibu wamekupa gemu iliopita, hatuna hata mchezaji mmoja wa kuamua gemu, wote viwango vyao viko sawa tu
 
Siku J. Carragher Aliyostaafu Kuichezea Liverpool na Nikamkuta Kavaa Jezi Ya Everton Huku Akihudhuria Mazoezi Ya Everton! Nilijua Tu Ninasmell Something fishy......

Everton Ndiye Aliyeizaa Liverpool, Sasa Mtoto Kadraw ndani Ya OT, kweli Baba Na yeye Akubali Kufungwa ndani Ya OT?.... Si itakuwa aibu Baba kuipata kwa Mtoto...

My Take: "Merseysiders will remain to be Merseysiders"..... All Merseysiders (Everton & Liverpool) Have the Same Enemies... No one else but Man U, Man City and Leeds U....
Stop calling Man U

It's Man Utd
 
AC Milan wanapitia magumu ambayo man utd wanapitia now!

Hata wamsajili Messi, cr7, griezman, hazard N.k bado hawatafanya kitu,

Timu imefikia kikomo!
Bado nafasi ipo ya kurudi pale ilipokuwa japo ni suala la muda maana hata Fergie alisubiri misimu mitano ndio akawa na ufahari alionao leo

Jiulize kwanini Atletico wako vile unavyowaona leo ni mipango from the scratch

MANCHESTER UNITED inapaswa kuwekeza kwa vijana watakaokuwa na spirit ya United kuliko ilivyo hivi sasa ambapo wachezaji wastani wa umri ni 28
 
Bado nafasi ipo ya kurudi pale ilipokuwa japo ni suala la muda maana hata Fergie alisubiri misimu mitano ndio akawa na ufahari alionao leo

Jiulize kwanini Atletico wako vile unavyowaona leo ni mipango from the scratch

MANCHESTER UNITED inapaswa kuwekeza kwa vijana watakaokuwa na spirit ya United kuliko ilivyo hivi sasa ambapo wachezaji wastani wa umri ni 28
Ndicho nilichokuwa nasema, mtasubiri sana kurudi kwenye enzi za Ferguson!

Huu ni mwaka WA 4 unaenda mnastruggle!
 
Huyu kasha fail, Manchester United imekua kubwa kuliko uwezo wake
Kwanza tujiulize, kibarua chake kipo jiji la Manchester ila yeye analala London na ikitokea kalala jiji la Manchester analala Lowry hotel, msimu unaisha huu hana makazi rasmi

Muda utaeleza
Basi km Mou timu imemzidi hakuna kocha mwingine Duniani mwenye uwezo wa kuifundisha Man U mi nadhani tufanye km Real kwa kumchukua kijana wao ZIZZU na kumuamini na sisi tunatakiwa tumuamini GIGGS tumpe timu tukubali kuanzia chini tukubali kushindwa
 
Basi km Mou timu imemzidi hakuna kocha mwingine Duniani mwenye uwezo wa kuifundisha Man U mi nadhani tufanye km Real kwa kumchukua kijana wao ZIZZU na kumuamini na sisi tunatakiwa tumuamini GIGGS tumpe timu tukubali kuanzia chini tukubali kushindwa
Ni kweli kabisaa maana anaijua united in and out....
Hili wazo lilitakiwa kufanyika immediately baada ya van gal kuondoka ilitakiwa tuachane na jm
 
Basi km Mou timu imemzidi hakuna kocha mwingine Duniani mwenye uwezo wa kuifundisha Man U mi nadhani tufanye km Real kwa kumchukua kijana wao ZIZZU na kumuamini na sisi tunatakiwa tumuamini GIGGS tumpe timu tukubali kuanzia chini tukubali kushindwa
Mtashuka daraja mkifanya michezo, mpira ni uwekezaji na sio bla blaa za kununua gunia linaloitwa Pogba kwa matrilion!
 
Back
Top Bottom