mozilla
JF-Expert Member
- Mar 28, 2013
- 789
- 1,264
Ni heri tutoe 20 - 25 pounds milion kwa Sanchez kuliko kutoa more than 80milion pounds kwa Griezman, mchezaji ambaye hatuna uhakika kama ataweza shine EPL
Ni heri tutoe 20 - 25 pounds milion kwa Sanchez kuliko kutoa more than 80milion pounds kwa Griezman, mchezaji ambaye hatuna uhakika kama ataweza shine EPL
Arsene Wenger jana katamba Sanchez atamwaga wino yaelekea kwenye hili ni kuvuta subiraNi heri tutoe 20 - 25 pounds milion kwa Sanchez kuliko kutoa more than 80milion pounds kwa Griezman, mchezaji ambaye hatuna uhakika kama ataweza shine EPL
Natamani league ya EPL ishie kama ilivyo hapoTofauti yetu ya points na ManCity na Liverpool izingatie bado tuna mechi mbili dhidi ya Liverpool na moja dhidi ya ManCity.
Ukijumlisha yote haya utaona ushindani wa top four vision haitabiriki
View attachment 492321
Dah bora huyo kulikuwa na oberten Wachezaj wa babu hao na mwenzao macheda....
hata mimi nakuunga mkono, nadhani hizo 80 ni nyingi sana kwa mtu kama Griezman bora hata DyabalaNi heri tutoe 20 - 25 pounds milion kwa Sanchez kuliko kutoa more than 80milion pounds kwa Griezman, mchezaji ambaye hatuna uhakika kama ataweza shine EPL
Dah yani akina Rashford na Baily ambao huwa wanakaza wanalipwa vimshahara kidogo kabisa halafu huyu dogo anaongezewa mkubwa hivi, mtu mwenyewe Ha improve wala nn, hiki kichekesho
Katika maamuzi mabovu na ya kijinga manchester wamewahi kufanya, mojawapo ni hili la kumpa mkataba mpya lingard, achilia hilo la mshahara hana kiwango hata cha kukaa benzi la utdDah yani akina Rashford na Baily ambao huwa wanakaza wanalipwa vimshahara kidogo kabisa halafu huyu dogo anaongezewa mkubwa hivi, mtu mwenyewe Ha improve wala nn, hiki kichekesho
Fala kwel wwKatika maamuzi mabovu na ya kijinga manchester wamewahi kufanya, mojawapo ni hili la kumpa mkataba mpya lingard, achilia hilo la mshahara hana kiwango hata cha kukaa benzi la utd
mi kwa upande wangu,kati ya mchezaji anayejiamini akiwa na mpira na move zake zinaeleweka ni lingard,na rashford mbona hamsemi ni mbovu,anakosa magoli ya wazi kabisa..ila mnampiga tu majungu lingard,lakini jamaa anajitahidi ndo maana morinho pia anampa nafasi..Katika maamuzi mabovu na ya kijinga manchester wamewahi kufanya, mojawapo ni hili la kumpa mkataba mpya lingard, achilia hilo la mshahara hana kiwango hata cha kukaa benzi la utd