kateni rufaa mapema maana wanavyowatafutia red wapinzani duhNite nyt! sijui wembley wale jamaa wanaojiangusha kiulaini na kukimbilia stretcher itakuwaje
Pole kwa kuacha usingizi wako na hongera kwa kuwa nasi kwa dk 45, ila naomba unikumbushe huenda nimesahau arsenal si mlishatolewa UEFA? so unasema tukutane Wembley kufanya nini?
![]()
katoa macho utadhani kafumaniwa
Hahahaha! acha uchokozi kaka...atakupiga mwenye mke..(walcot)
kateni rufaa mapema maana wanavyowatafutia red wapinzani duh
mkuu huyu jamaa na kikosi chake cha kujiangusha, kulia na kupanda machela kwa faulo ndogo tunawafanyaje wembley?
wanaboa sana aisee mpaka mascherano nae anadeka siku hizi
wanaongoza ngapi?
Jamaa alijua atawakuta akina Rooney wanacheza sio?mkuu huyu jamaa na kikosi chake cha kujiangusha, kulia na kupanda machela kwa faulo ndogo tunawafanyaje wembley?
wanaboa sana aisee mpaka mascherano nae anadeka siku hizi
Wanamfanyia sana fouls ili wamkasirishe apewe kadi.Rafael kwa sasa hivi amekuwa akiumia kila mechi sijui ana tatizo gani?
Valencia is very good at tracking back.
Rafael kwa sasa hivi amekuwa akiumia kila mechi sijui ana tatizo gani?