FENtastic
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 6,780
- 10,553
Uko ap mpendwa walau tupongezane kwa hii moja moja maana joto bado tegemeo langu la burudan linaniharibia wkend..mie kwa kweli nasubilia mpaka msimu uishe.

Uko ap mpendwa walau tupongezane kwa hii moja moja maana joto bado tegemeo langu la burudan linaniharibia wkend..mie kwa kweli nasubilia mpaka msimu uishe.

Natamani fa wampige ban japo gemu 3Huyo jamaa yenu mbona hamna kitu.
Na FA lazima wamu adhibu. Anacheza ujinga tu. Halafu mbona kama analazimishwa hivi!?
Leo Ibra kachemka vya kutosha tuHapana mkuu sijasema ni box wala siaminishi hatufai lakini tusimtegemee kama main striker mkuu
nafasi ya 6 tutakuwepo tu kwa muda ila nina uwakika kabisa mpaka msimu uishe mwezi wa 5 hatutamaliza na nafasi ya 6, tutatoka hapo.
niko nyumbani najipooza na movie yangu hapa.Uko ap mpendwa walau tupongezane kwa hii moja moja maana joto bado tegemeo langu la burudan linaniharibia wkend..![]()
![]()
Mourinho anapaswa kumpumzisha Ibrahimovic,game ya leo kuanzia mwanzo alikuwa anaonekana hayupo mchezoni kabisa.Nadhan unamuona kama analazimisha au hata wakati mwingine ukimwangalia anavyokimbia ni kama anapata shida hivi yote sababu ni umri ndo maana sitafurahi kama endepo msimu ujao tutaendelea kumtegemea
Cc FaizaFoxyStill Nafasi Ya Kujifariji Leo Bado Munayo Hasa Pale Liver Atakapofungwa Na Arsenal........
Hata Hivyo Poleni Kwani leo ilikuwa ndiyo Golden Channce Ya Kuhama Nafasi Ya Sita lakini Mukapumbazwa Zaidi na Game Ya Liver v/s Arsenal na Muaikea Concentration Kubwa Zaidi badala ya Yakwenu Pale Mulipojiamini Kuwa Mutashinda......
najua tungeshinda tungekuwa top 4 nami nilikuwa na matumaini hayo, ila bado tuna siku zijazo asa kwanini niseme tutaishia hapo wakati msimu unaendelea?Red: Kumbukumbu zinaonyesha tupo muda mrefu hapo sehemu
Kinachosikitisha kila tukipata nafasi ya kupatoka tunakosea
Unajua tungeshinda game la leo, sasa hivi tungekuwa kwenye top four?
Siku ya kutoka ilikuwa leonafasi ya 6 tutakuwepo tu kwa muda ila nina uwakika kabisa mpaka msimu uishe mwezi wa 5 hatutamaliza na nafasi ya 6, tutatoka hapo.
Mourinho nae na rekodi yake mbovu, droo 7 nyumbani!
Ili Chelsea wasiwe mabingwa wanahitajika watoe sare tano au kupoteza mechi tatu na sare moja
Sijui ni kwa nin mournho huaga anashindwa kumpiga sub zlatan hata azingue vip...huyu jamaa sometimes anakuwa out of the game kama leo na huko europa kama itakuwa ndo hiv sipati pichaHapo ume-assume kuwa timu nyingine zitashinda mechi zote zilizobakia which is not always possible in the Premier League.
"I have experienced this, which is why I continue to repeat that there are 13 games and there are 39 points [to play for]. There is a long time to tell if we can win the title. We must be focused and go step by step and now I'm sure that to win the title we must do 32 points" - Chelsea Manager Antonio Conte.