Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

1c53d725c6b87e85c86b21b3bc5b07cc.jpg
Ni kuwapa pumzi baadhi na kuwarudisha kundini baadhi.
 
Haya siyo mafanikio madogo ukizingatia masare kibao tuliyojivalisha wenyewe kwa makosa madogomadogo ya hapa na pale
 
Mkuu Havanna naamin Ed hana ushawish mkubwa sana ila uwepo wa Mou utasaidia,, Mou ni kocha mwenye mvuto kias chake,, Ed ni mzuri sana kwa bargaining maana kama sikosei ni mtu wa mahesabu,, ila nadhani kwenye mpira sio kivile na ndo otofaut wake na kna Gill na Ken unapopatikana,, tumewah kuwakosa kna Alcantala, Vidal, Fabrigas, Rodriguez, na hata Renato Sanchez kwa sabab ya ushawishi mdogo wa Ed...
Kazi ya Woodward ni kutoa fedha kama kocha akimtaka mchezaji na akafanikiwa kumshawishi,LVG alimtaka Muller Woodward alikuwa tayari kutoa £ 85m lakini Muller na Bayern wote walikataa,unafikiri bila Mourinho Pogba na Ibrahimovic wangetua United ?

Pep aliwashawishi Sane,Bravo,Nolito,Gundogan,Jesus kutua Man City

.Moyes alishindwa kuwashawishi Herrera,Fabregas,Thiago,Baines
 
Manutd, Mancity, Arsenal na Southampton tu ndizo zimecheza mechi moja pungufu wakati wenzao wamecheza
 
Hizi ni habari kwa Liverpool ambao wakifungwa Leo na Arsenal Champions league itaota mbawa hata draw ni habari mbaya kwao
 
LA ajabu, Liverpool imefunga mabao 55 sawa na Chelsea tatizo wanaruhusu mabao mengi kufungwa
 
Ili Chelsea wasiwe mabingwa wanahitajika watoe sare tano au kupoteza mechi tatu na sare moja
 
Back
Top Bottom