Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Nionavyo leo matokeo ni Manutd 3-0 Bournemouth
Ni kuwapa pumzi baadhi na kuwarudisha kundini baadhi.
Ni kuwapa pumzi baadhi na kuwarudisha kundini baadhi.
Jiandae kisaikolojia mzee leo mou anachezea vitatu kavuuLeo inatakiwa tushinde game ili Liverpool pale ahame, na if possible Liverpool wa draw na mwenzio au apigwe tu

Kazi ya Woodward ni kutoa fedha kama kocha akimtaka mchezaji na akafanikiwa kumshawishi,LVG alimtaka Muller Woodward alikuwa tayari kutoa £ 85m lakini Muller na Bayern wote walikataa,unafikiri bila Mourinho Pogba na Ibrahimovic wangetua United ?Mkuu Havanna naamin Ed hana ushawish mkubwa sana ila uwepo wa Mou utasaidia,, Mou ni kocha mwenye mvuto kias chake,, Ed ni mzuri sana kwa bargaining maana kama sikosei ni mtu wa mahesabu,, ila nadhani kwenye mpira sio kivile na ndo otofaut wake na kna Gill na Ken unapopatikana,, tumewah kuwakosa kna Alcantala, Vidal, Fabrigas, Rodriguez, na hata Renato Sanchez kwa sabab ya ushawishi mdogo wa Ed...