Sure bro duh weekend imeharibika hivi hv sion mana ya kwenda kuangalia mechi ya liver tenaSixth since late october till mid march.
inafika stage inabidi tu enjoy hii nafas
Nakumbuka hiyo post.. Nilikuunga mkono.Niliwahi kusema nafasi ambayo anapangwa zlatan, angepangwa wazza mara mia angetufikisha mbali, nikaambiwa nipunguze mahaba na captain
mie kwa kweli nasubilia mpaka msimu uishe.Acha tu shetani ashinde mkuu, si kwa upuuzi huu kila siku
Sikubalian nawe mkuu swala la wing noooooo we need striker ebu angalia chance tuliyokosa ya kwanza file martial anapiga ndani ya kumaliza anaweka mapaja sijui magoti ibrah weeee needed forward we needed that this is bull shitManutd wanahitaji winga wenye kasi ili kudhoofisha ngome vinginevyo ufungaji utakuwa wa kusuasua
Hizi ni hoja za kumsajili kati ya Gritzman au neymar. Tunahitaji finishersMan Utd have mustered 20+ shots without winning four times in the Premier League this season, more than any other side. Wasteful.
Huyo jamaa yenu mbona hamna kitu.Nitaumia zaidi msimu ujao endapo ntaendelea kumuona zlatan akiwa pale mbele kama tegemezi sababu magoli anayokosa ni mengi kuliko anayofunga
Mi nilijua tuMkuu usiwe na shaka, tunashinda kw Kishindo na tunahama chumba cha sita tafuta dalali tu
timu mbovuuu
na mfanye maandalizi mapema next game FA hampoooooJuzi tu kakupa efl... Leo unamuona boxNitaumia zaidi msimu ujao endapo ntaendelea kumuona zlatan akiwa pale mbele kama tegemezi sababu magoli anayokosa ni mengi kuliko anayofunga
Mi naangalia kwa sababu nisha zoea.Sure bro duh weekend imeharibika hivi hv sion mana ya kwenda kuangalia mechi ya liver tena
Unawaza chelsea mbali ivyo?? Mziki wa Ristov sjui itakuwaje.Kwa jinsi tulivyocheza leo, hiyo game na chelsea sijui kama kitakachotupata tutaweza kukielezea
nafasi ya 6 tutakuwepo tu kwa muda ila nina uwakika kabisa mpaka msimu uishe mwezi wa 5 hatutamaliza na nafasi ya 6, tutatoka hapo.Mhh
Liverpool kafungwa majuzi, leo anacheza na Arsenal ambao wote wapo juu yetu, kwahiyo kuna mmoja wao au wote wawili wakapoteza point/points, sisi tunacheza home na timu tunayotakiwa kuifunga tena wako nusu kwa muda mrefu tunashindwa kuwafunga
Huoni kama kuna gundu hapo nafasi ya sita?
GGMU
Hata mimi sitaingalia tena ingawa nilipanga kuichekiSure bro duh weekend imeharibika hivi hv sion mana ya kwenda kuangalia mechi ya liver tena
Thats what we suppose to accept... GGMUOne of those days when u have lots of chances to score, win the game but things don't go right. Disappointing really, but that's the game, you can't expect to win every single match. Let's hope the next ones come with positive results. Viva Manchester Utd