Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tuna mechi 4 against wapinzani wetu Man City,Arsenal ,Spurs na Chelsea kwa sasa hatupaswi kupoteza hizi mechi na hizi game karibia zote zinachezwa mwezi May so tunapaswa kutopoteza mechi.


Na Ndiyomaana Nikawa Ninasema Ratiba HaijamFavor Man U Kuingia Top 4 Coz Hapo Arsenal, Man City na Spurs Bado Watakuwa Wapo Katika Pressure Ya Kuto Kushuka Top 4, Wakati Chelsea Analinda Heshima....
 
now you know what to do spurs

Mkuu Subiri Tukicheza na Burnely au Stoke ndiyo Utapanda Nafasi Ya Tano! Sio Kwa Spurs wala Arsenal.... Klopp ni Robbin Hood Anachukua Kwa Top 6 na Kuwagawia Last 6.... Mkuu Washabiki Wa Chelsea Hawakuicomment Negetive Game hii ya Liver vs Spurs Kwa Sababu Walijua Fika Liverpool inapocheza na Top 6 nini Kitatokea..... Next Game Tunacheza Na Lesta Hapo Sote Tunajua Nini Kitatutokea...
 
Na Ndiyomaana Nikawa Ninasema Ratiba HaijamFavor Man U Kuingia Top 4 Coz Hapo Arsenal, Man City na Spurs Bado Watakuwa Wapo Katika Pressure Ya Kuto Kushuka Top 4, Wakati Chelsea Analinda Heshima....
Hakuna ambaye ratiba inampa favour kila timu inacheza mechi 38 na usiposhinda mechi zako huwezi ingia top four.Nani ambaye ratiba inampa favour ?
 
By jumatano tutakuwa tunafikisha siku 100 tukiwa katika nafasi ya 6

Nilichogundua ni kuwa ligi ya EPL haitakiwi usubiri watu washuke, inatakiwa ujibebe mwenyewe na ndio some times man utd inapo kosea.
Japo gap lime punguzwa na chance ya kushika namba ya juu zaidi ya 6 ipo, we must carry ourselves there, i hope hatutua poteza point siku ambayo tunahitaji kupanda zaidi.
Bado unaimani na Tuchel?
 
Manure ikirudishwa nafasi yake ya sita
ed74920da94cc5cb9b628db43f2b8f1c.jpg
 
Ushindi wa liver bado mzur unamuacha chelsea bila presha unamfanya wa pili hadi wa 6 kulala na kuishi kwa mawazo kwa sasa ukipoteza game moja tu ushakuwa wa 6 au wa 5
 
Na Ndiyomaana Nikawa Ninasema Ratiba HaijamFavor Man U Kuingia Top 4 Coz Hapo Arsenal, Man City na Spurs Bado Watakuwa Wapo Katika Pressure Ya Kuto Kushuka Top 4, Wakati Chelsea Analinda Heshima....
Usipende kutumia neno MAN U

Hilo neno ni la kejeli kwetu tumia MAN UTD OR UNITED inatosha

Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
 
Jamaa ni jeuri, na asipo angalia soon patamshinda pale, Hana plan b, hadi sasa hana 1st eleven inayoeleweka, kila mechi anakuja na mifumo mipya na wakati ana wachezaji wazuri tu.
Hahaha
Mwishoninmwa msimu smuoni akibaki.
Maana UCL hawezi chukua, huu mwaka ilibidi uwe wao naona bado hawaja u capitalize
 
Back
Top Bottom