Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

dacb4eeeb6b9b0f55c78b0f722713ba4.jpg

77e10911c92f99be73bb3c9b7ae20721.jpg


a49da4eb83c74375b9e8f8f6fed751b6.jpg


ea9fd26b66ecef54b13668e36ffbca19.jpg

Tushindwe wenyew kuingia topfour

Mkuu bado sana liverpool na chelsea wamekata angalau big game vizur washachukua point nne sisi hizo game mchekea hazina maana sana mana hapo bado kuna wabishi tulitakiwa tupige game kubwa mbili kwanza halafu wanakuja hao bila ya hivyo bado sina imani
 
Mkuu bado sana liverpool na chelsea wamekata angalau big game vizur washachukua point nne sisi hizo game mchekea hazina maana sana mana hapo bado kuna wabishi tulitakiwa tupige game kubwa mbili kwanza halafu wanakuja hao bila ya hivyo bado sina imani
Sasa hizo game kubwa si ndio hao tunagombea nao nafasi. To be the best u gotta beat the best.
 
Sasa hizo game kubwa si ndio hao tunagombea nao nafasi. To be the best u gotta beat the best.

Mzunguko wa kwanza tumeshinda game moja tu hapo ndipo nakosa amani tunaweza kuchota maji kwenye net
 
Timu ilivyo sasa sio sawa na mzunguko wa kwanza.

Poa mkuu ngoja tuone ila kwa sasa upande wa pili nafurah kocha kaimalisha uwanja wa nyumban kwa sasa pamelud kama mwanzo sio sehemu rahis ukija old trafod.
 
Former Liverpool man Hutchison also feels the Manchester United manager is laying down the building blocks for a great side at Old Trafford and this time next year, Mourinho’s team are going to be on a different pedestal.
He has pointed out that even before the summer transfer window, Manchester United already have a good squad in place with players such as Henrikh Mkhitaryan only expected to improve after their first season at Old Trafford.
Hutchison said on Premier League TV’s Football Today show: “He is building the foundations.
“When you look at the Chelsea side that he had – they went so long with an unbelievable home record, literally like years and he is doing the same thing at Man United.
“When you think this time next year, they are going to be so much better.
"Mkhitaryan’s numbers at Dortmund were 20 odd assists and 28 goals whatever it was, he was on fire at the weekend and his numbers are going to be better this time next year.
“They might have people like [Antoine] Griezmann, [Paul] Pogba, Zlatan [Ibrahimovic], young boys such as [Marcus] Rashford and [Anthony] Martial and [Eric] Bailley, who probably didn’t get a mention and he was excellent at the weekend as well.”
Manchester United could win the first trophy on offer this season when they play Southampton in the EFL Cup final at Wembley on Sunday, 26th February.
 
‘I’m always happy with Marcus Rashford’s contribution,’ Mourinho said. ‘He is one of those players that when he is on the pitch he tries when he always gives something.

‘I know that last season under no pressure, last season in front of the goal, the goal was bigger. I know this season the expectations are higher, the pressure is higher and the goal is smaller.

‘He is missing some chances he’s not scoring as many goals as he could because he gets lots of playing time on the pitch.

Rashford form comparison
2015/16: 18 games, 8 goals
2016/17: 31 games, 6 goals

‘But it is absolutely natural in the second year after a season of explosion, then the expectation and everything changes.

‘He is not anymore the surprise kid, the player everyone respects that everyone knows and everyone knows the qualities. It is normal he is in this period of transition where he is still a kid but not the new kid in town anymore.
 
Ndo maana naipenda Man U na washabiki wake!!!!!!

1. Timu ni ya kistaarabu na imejijengea heshima kubwa sana duniani, hakuna purukushani kama wale wengne(wanajijua)

2. Mashabiki wanajitambua na kujiheshimu sana....hivi ingekuwa ndo Man U amepigwa hizo 5-1 si pangekuwa hapatoshi leo hapa jamvini?

2. Lakini ona jamvin palivyo tulivu na nauhakika hata mashabiki wa Man U hawajaenda kuleta za kishilawadu kwenye thread yao! Nimejaribu kupitia kwenye thread yao lakin hakuna mashambulizi kama yale ambayo wao huleta hapa jamvini tukifungwa

GLORY GLORY MAN UNITED!!!!
 
Ndo maana naipenda Man U na washabiki wake!!!!!!

1. Timu ni ya kistaarabu na imejijengea heshima kubwa sana duniani, hakuna purukushani kama wale wengne(wanajijua)

2. Mashabiki wanajitambua na kujiheshimu sana....hivi ingekuwa ndo Man U amepigwa hizo 5-1 si pangekuwa hapatoshi leo hapa jamvini?

2. Lakini ona jamvin palivyo tulivu na nauhakika hata mashabiki wa Man U hawajaenda kuleta za kishilawadu kwenye thread yao! Nimejaribu kupitia kwenye thread yao lakin hakuna mashambulizi kama yale ambayo wao huleta hapa jamvini tukifungwa

GLORY GLORY MAN UNITED!!!!
tumeenda kuwapa pole.
 
Ni rahisi saana kwa aseno kufuzu raundi ya 16 uefa, kuliko manchester kuingia top foo labda Ferguson arudi
 
Wakuu habari za asubuhi

Kule nyumba ya jirani kuna msiba mkubwa, kama ilivyo tamaduni zetu za kiafrika ni kupeana pole na kushirikiana, naomba muende kuwapa pole na kusaidia shughuli ya mazishi

Misa ya kuaga mwili itaanza saa 7 noon

579fe048b0ead5a881e064bac8756449.jpg


e95598ec320638aa2d60df002abbc092.jpg
 
Wakuu habari za asubuhi

Kule nyumba ya jirani kuna msiba mkubwa, kama ilivyo tamaduni zetu za kiafrika ni kupeana pole na kushirikiana, naomba muende kuwapa pole na kusaidia shughuli ya mazishi

Misa ya kuaga mwili itaanza saa 7 noon

e95598ec320638aa2d60df002abbc092.jpg
 
Back
Top Bottom