Ndo maana naipenda Man U na washabiki wake!!!!!!
1. Timu ni ya kistaarabu na imejijengea heshima kubwa sana duniani, hakuna purukushani kama wale wengne(wanajijua)
2. Mashabiki wanajitambua na kujiheshimu sana....hivi ingekuwa ndo Man U amepigwa hizo 5-1 si pangekuwa hapatoshi leo hapa jamvini?
2. Lakini ona jamvin palivyo tulivu na nauhakika hata mashabiki wa Man U hawajaenda kuleta za kishilawadu kwenye thread yao! Nimejaribu kupitia kwenye thread yao lakin hakuna mashambulizi kama yale ambayo wao huleta hapa jamvini tukifungwa
GLORY GLORY MAN UNITED!!!!