everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Doooohhh !!! Mmeamua kuniangusha!!!Ngumu sana kuminyika eti
Doooohhh !!! Mmeamua kuniangusha!!!Ngumu sana kuminyika eti
Ngoja aje BitozDuhhhh!!! Hahahahaha Kweli umeamua kuwapa Liver ushindi yaani unakana hadi jinsia yako?mimi mwenyewe hapa na kipochi changu nimeminya wewe hutakiii!! Nitakuja kukuminya kwa nguvu sasa.... na wakifungwa Totenham wanaume wa humu mtakuwa mmeniangusha maana hii dawa very applicable for men ndo inaleta majibu mubashara![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Tangu lini me wakawa na kipochi manyoya???Duhhhh!!! Hahahahaha Kweli umeamua kuwapa Liver ushindi yaani unakana hadi jinsia yako?mimi mwenyewe hapa na kipochi changu nimeminya wewe hutakiii!! Nitakuja kukuminya kwa nguvu sasa.... na wakifungwa Totenham wanaume wa humu mtakuwa mmeniangusha maana hii dawa very applicable for men ndo inaleta majibu mubashara![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Kila nikiminya inauma tu, alafu huyu [HASHTAG]#Mane[/HASHTAG] sio mtu mzuri aiseeDuhhhh!!! Hahahahaha Kweli umeamua kuwapa Liver ushindi yaani unakana hadi jinsia yako?mimi mwenyewe hapa na kipochi changu nimeminya wewe hutakiii!! Nitakuja kukuminya kwa nguvu sasa.... na wakifungwa Totenham wanaume wa humu mtakuwa mmeniangusha maana hii dawa very applicable for men ndo inaleta majibu mubashara![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hahahahahaha weee si umesema au nimekusingzia!!! Bana weee minya iwe tango,ndizi,karoti,kitumbua,pochi manyoya minys tu tupate majibu mubasharaaaa....... ila hiki cha leo cha arusha kimenichanganya!! Usinisemeee kwa konda mimi siko kny daladala lakeTangu lini me wakawa na kipochi manyoya???
Wewe ndo wataka kunibadilishia jinsi yangu eeeeh??? Kweli no 6 imekuvuruga![]()

Na wewe minya tafadhal!!!Ngoja aje Bitoz
Huu upashanaji khabari uliotukuka huu. Safi unitedNdiyo lengo kupashana habari
Hahahhaa vumilia kidogo tu italeta majibu mubashara tatizo wataalam wa kuminya ndo hawa hawa tunaowaombea njaa nahisi nao watakuwa wameminya balaa maana siyo kwa mkazo huu!!!Kila nikiminya inauma tu, alafu huyu [HASHTAG]#Mane[/HASHTAG] sio mtu mzuri aisee
Imeanza kulegea na kuminyika ngoja nikailowekeDoooohhh !!! Mmeamua kuniangusha!!!
Hahahhaaa mnanivunja mbavu aiseeeee!!!!Imeanza kulegea na kuminyika ngoja nikailoweke
Shika bambataa ruka chakacha
Hahahhaaa mnanivunja mbavu aiseeeee!!!!
Leo Tottenham kawa mtoto wa kambo hadhaminikiHahahhaaa mnanivunja mbavu aiseeeee!!!!
Faulo IBRA[/QUO
Huu utangazaji mubashara!
Kama nilivyosema yaani sometime wanakuwaga vilaza kweli hata hawafai.... ila duhh hongera kwake Liver kajua kuwatesa top four ila sisi ametushindwa,Chelsea kachomoa round ya pili sijui Arsenal ataweza? Man City?!!! Hapana chezea wazeee wa kukamia !!!
Hongera kwaoKama nilivyosema yaani sometime wanakuwaga vilaza kweli hata hawafai.... ila duhh hongera kwake Liver kajua kuwatesa top four ila sisi ametushindwa,Chelsea kachomoa round ya pili sijui Arsenal ataweza? Man City?!!! Hapana chezea wazeee wa kukamia !!!
Mambo yameenda komboKweli tuendelee kuomba dua,sometime Totenham wana vitu amazing ingawaje sometime wanakuwa vilaza wa ajabu!!!
Ahhhh!!! Mmeniangusha bana mimi nimewapa wito mminye mmesepa hhaahhaha!! Anyway next tutachomoka tu!! Hapa siyo petu mimi nakataa kabisa please Man wenzangu be positive huyo anayesema tumerogewa hapa nita..........Mambo yameenda kombo
