Eqlypz
JF-Expert Member
- May 24, 2009
- 4,065
- 651
giggs missed a sitter, rooney missed a sitter...when that happens unajua sio siku yenu! Anyway tusubirie everton....kwani vipi tena? what's the score?
giggs missed a sitter, rooney missed a sitter...when that happens unajua sio siku yenu! Anyway tusubirie everton....kwani vipi tena? what's the score?
walitakiwa kudungwa zisizopungua 3, miaka yote goli nyingi huwa tunapata kwa hawa jamaa, sikuiwazia draw kabisa. Anyway bado tupo juu, nasubiria kwa hamu game lenu, nawatakia kheri.
Kitu 0-0 mwanangu, sasa hapa ngoja nim-tweet fabregas kumpa matokeo manake hata sidhani wakijaga uwanjani wanajua nini kimewaleta lol.
Nguvu zote kesho tuone reaction ya wachezaji wetu . Noma sana mwaka huu kutoka bila bila kwa style hii.
Nilikuwa nacomment kwenye post yako maana umegusia mechi ya kesho....relax, it's just Yids tomorrow....hahahahaha!
Kinachofurahisha ni jinsi Arsenal watakavyowasikitisha hiyo kesho muishie kumshambulia AW!!..mimi simo!
Mechi ya leo imeniboaa vibaya..khaa!!
ManU wakicheza hivi mechi zilizobaki wasahau ubingwa....Inaonekana ile kile kipigo cha Citeh bado kiko vichwani mwa wachezaji. Arsenal wakishindwa tena kutumia nafasi hii inakula kwao.
Pole sana BJ, wachezaji wamechoka ,mechi nyingi sana na castle wamepiga mpira mapepe yao tu ndio yamewafanya wakose point 3.
Kesho kufa na kupona.
Mimi niligusia tu juu juu naona wewe umekuja na conclusion kabisa lol. Haya mtani usije ukanasa kwa birmingham na wewe? Manake sasa hivi mnatafuta sababu ya kumfukuza kocha tu lol
giggs missed a sitter, rooney missed a sitter...when that happens unajua sio siku yenu! Anyway tusubirie everton.
Kinachofurahisha ni jinsi Arsenal watakavyowasikitisha hiyo kesho muishie kumshambulia AW!!..mimi simo!
Mechi ya leo imeniboaa vibaya..khaa!!
Plus uchovu, ukizingatia tumecheza na nyie twice then man city maana wote mko very physical. Mechi yetu na arsenal itakuwa title decider...vile vile we could be looking at a three way race by Sunday night.ManU wakicheza hivi mechi zilizobaki wasahau ubingwa....Inaonekana ile kile kipigo cha Citeh bado kiko vichwani mwa wachezaji. Arsenal wakishindwa tena kutumia nafasi hii inakula kwao.
Plus uchovu, ukizingatia tumecheza na nyie twice then man city maana wote mko very physical. Mechi yetu na arsenal itakuwa title decider...vile vile we could be looking at a three way race by Sunday night.
sawa mrithi wa Sheikh Yahya...!!
Haya lala salama.tukutane jukwaani kesho uone dogo wako walcott anavyowakimbiza lol.Thanks AW, acha nikitoe kabla Wacha1 hajaja na analysis zake mana anaua kweli jamaa!!...kesho na nyie msiendeleze malalamishi, vijana wawape raha!!!..ila Arsenal hawatabiriki kabisa, kwenye matarajio/mategemeo muhimu ndiyo wanaangusha vibaya!! Ila who knows, tuone 2mr!!
Plus uchovu, ukizingatia tumecheza na nyie twice then man city maana wote mko very physical. Mechi yetu na arsenal itakuwa title decider...vile vile we could be looking at a three way race by Sunday night.
Hahaha, ebanae ngoja niangalie Undercover Princes hapa nicheke Hasira ziishe.. Kesho ata sijui niangalie mechi gani maana el clasico pt 2 of 4 iko.Hahahaha! Najaribu, japokuwa niko very biased.
Hahahaha, Carlo yuko safe!
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hii timu huwa wanachoka peke yao wakicheza ugenini khe khe khe kheeeeeeeeeeee karibuni kwenye EPL khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nasikia mmemnyoa New Castle united khe khe kheeeee refa hakuongeza muda mfunge?