Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Disgraceful ad disgusting perfomance to be honest.

We have given arsenal and chelsea a lifeline to the title.
 
Hongera sana kwa NORTHERN ROCK, sasa kazi imebaki kwa Arsena kushinda kesho ili kuongeza presha.
 
AW, pls nijulishe matokeo ya watani wangu.....!:nerd:

Kitu 0-0 mwanangu, sasa hapa ngoja nim-tweet fabregas kumpa matokeo manake hata sidhani wakijaga uwanjani wanajua nini kimewaleta lol.

Nguvu zote kesho tuone reaction ya wachezaji wetu . Noma sana mwaka huu kutoka bila bila kwa style hii.
 
I want my 90 minutes back, nawahurumia waliosafiri kwenda kuangalia mechi...! Limp limp perfomace.
 
Disgraceful ad disgusting perfomance to be honest.

We have givene arsenal and chelsea a lifeline to the title.

Mkuu wala usijali kabisa...mechi zimebakia kidogo na tukipata point 9 basi mambo powa kabisa....
 
Kitu 0-0 mwanangu, sasa hapa ngoja nim-tweet fabregas kumpa matokeo manake hata sidhani wakijaga uwanjani wanajua nini kimewaleta lol.

Nguvu zote kesho tuone reaction ya wachezaji wetu . Noma sana mwaka huu kutoka bila bila kwa style hii.

Hayo matokeo yatanipa usingizi....mwambie Fabregas asipofanya vizuri kesho tutamuuza kwa gharama kubwa kama Torres ila hatafurahia maisha yake kwenye timu atakayohamia......aagane na sisi kwa uzuri.....mwaka huu bora upotezee tu...mi nimeshakubali matokeo....!!
 
Naona Chicharito anajifunza vizuri kutoka kwa Nani! Ile ya Nani kipindi cha kwanza ilistahili yellow pia!
Angalia tena, ameclip mguu wa hernandez, kama alibuosema maca jinsi alivyoanguka ndiko kumemput off refa..ya nani ilikuwa dive, newcastle deserved a penalty..so was tiote's handball
 
Kitu 0-0 mwanangu, sasa hapa ngoja nim-tweet fabregas kumpa matokeo manake hata sidhani wakijaga uwanjani wanajua nini kimewaleta lol.

Nguvu zote kesho tuone reaction ya wachezaji wetu . Noma sana mwaka huu kutoka bila bila kwa style hii.


Kesho mnashuka rasmi kwenye nafasi yenu ya tatu....lol
 
Kivipi mkuu? Ulikuwa una matokeo gani kabla ya game? Mpira una dunda.

walitakiwa kudungwa zisizopungua 3, miaka yote goli nyingi huwa tunapata kwa hawa jamaa, sikuiwazia draw kabisa. Anyway bado tupo juu, nasubiria kwa hamu game lenu, nawatakia kheri.
 
Hayo matokeo yatanipa usingizi....mwambie Fabregas asipofanya vizuri kesho tutamuuza kwa gharama kubwa kama Torres ila hatafurahia maisha yake kwenye timu atakayohamia......aagane na sisi kwa uzuri.....mwaka huu bora upotezee tu...mi nimeshakubali matokeo....!!

Lool salam zimefika.

Mwaka huu noma sana, mambo ya kusikilizia mpaka dakika ya mwisho yanaleta ugonjwa wa moyo.

Tusubiri kesho kwanza tuone reaction ya wachezaji wetu manake kama kuna uhai kidogo hapa.
 
Back
Top Bottom