Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mweeh!..hamkosi nuksi🙂) naomba usinzie hapo hapo na tushinde, ha ha

Mngekuwa mnaongoza ningesinzia lakini kwa jinsi inavyokwenda hapa ndio kwanza naongeza dawa lol.

Naona park ,evans na valencia wana warm up.park yule anaweza kukutoeni kwenye mechi kama hiii mgumu sana.park ukimpiga buti ndio kwanza anaongeza spidi lol.
 
Man U fans don't have to worry. No matter what happens today, I'm sure Arsenal will find another new, unique way to drop points tomorrow. It's what they do best
 
Mngekuwa mnaongoza ningesinzia lakini kwa jinsi inavyokwenda hapa ndio kwanza naongeza dawa lol.

Naona park ,evans na valencia wana warm up.park yule anaweza kukutoeni kwenye mechi kama hiii mgumu sana.park ukimpiga buti ndio kwanza anaongeza spidi lol.

Hahaha PARK anapumzika leo....ila anaweza kuwekwa......
 
Man U fans don't have to worry. No matter what happens today, I'm sure Arsenal will find another new, unique way to drop points tomorrow. It's what they do best

Aminia mkuu hapo umeongea point.....kabisa hawa Arsenal huwa hawaeleweki kabisa haha
 
New castle inabidi wapate goli hili nipate huakika wa draw au wa wao kushinda lakini style hii hapa noma.chicarito atapata nafasi ya kujiongezea ujiko.
 
Chicarito kataka kununua penati refa kamwambia noma utanipotezea kibarua kama hela yenu nitawarudishia sio kwa style hii lol
 
Back
Top Bottom