Speaking of fighting ngoja nimuangalie Amir Khan nikisubiria highlights....! Siamini tumewapa Citeh kikombe duh!!
Wakuu tupeane pole tuko pamoja...........pamoja na kupoteza another treble kwenye hii season bado tunayo mengine mkononi
Ngoja nijipooze kidogo kwa kucheko Almeria na Valencia wakati tunangoja El-Classico
Never give up.....Glory, Glory Man Utd
ha ha ha, unapakaza pili pili kwa kidonda?
mnh,...thx God Kamanda Eqlypz ni Gentleman.
Atakuelewa tu.
Hehehe Scholes kweli kadata duh....inasemekana ndio mechi yake ya mwisho maana mpaka sasa hajarenew contract.. alafu naona Fabregas amemsifia kabla ya mechi.Pole na majukumu bana, labda hukujua babu Scholey alikuwa keshapigwa Red dakika hizo.
Huyu Khan mshabiki wa Citeh, jana alikuwa kwenye tv anaongea sana hehe.Yap, mwenyewe namsubiria hapa, ila mpaka atapodundana na "Money Man" Mayweather Jr. ndio nitampa Big Up ya ukweli.
Hehehe Scholes kweli kadata duh....inasemekana ndio mechi yake ya mwisho maana mpaka sasa hajarenew contract.. alafu naona Fabregas amemsifia kabla ya mechi.
Huyu Khan mshabiki wa Citeh, jana alikuwa kwenye tv anaongea sana hehe.
Bado Shalke 04. ..
Sitaki kulijadili hili but si kwasababu nyingine ila hilo jina....ni kama navyoamini Belinda ni mdada....!
Primetime...na kama una Sky na Virgin on Demand ngoja nikutafutie link....ha ha ha, Scholey na kadi zake kumi nyekundu! Ginger head! Lakini pamoja na yote hayo, jamaa ni down to earth kichizi.
Bout ya Ameir Khan wanaonyesha Channel gani bana? kwenye Tv listing yangu ya freeview sioni kitu!
...ha ha, sio Schalke pekee, na RAUL!
![]()
City's Toure de force: Yaya ends Treble talk with FA Cup win over 10-man United
Yaya Toure's 52nd-minute strike booked a return trip to Wembley for Manchester
Wine Romney alikuwepo kwenye jukwaa khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeee
Mlishapewa viwili (2) tena kama sijasahau mligawiwa na Fabio na cha pili mlipewa na Rooney
Ingekuwa Arsenal ndo tumetolewa tusingelala leo..............lol