Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wakuu mbona mmeleta fujo London Baloteli anapigwa hapa na wachezaji wa Manure khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee ni Rio Ferdinand huyu anataka kupigana khe khe khe kufungwa kubaya khe khe kheeeee

kakojoe ulale
 
Mkuu Wacha1, sasa weka picha mfululizo hapa mpaka paeleweke! Tukio baada ya tukio hii itawasaidia kuwa update kina Eqlypz, na Belinda ambao hatukujumuika nao leo.
 
Waungwana nimeangalia mechi kuanzia dakika ya 80 it was a very disgusting performance from man utd, congratulations kwa city... Ngoja niangalie highlights kwanza... Kama tukiendelea kucheza namna hii we don't deserve anything that includes champs league na epl.
 
Poleni Manure, naona mmepewa kichapo na noisy neighbour leo hamtalala hapo town.
 
Mkuu Wacha1, sasa weka picha mfululizo hapa mpaka paeleweke! Tukio baada ya tukio hii itawasaidia kuwa update kina Eqlypz, na Belinda ambao hatukujumuika nao leo.

Poa mkuu hawa wakuda wanataka kupigana uwanjani hii ni too low anyway tutapata ukweli nini kilijiri lakini ile rafu ya Scholes ni hatari. pamoja na hayo mengi yanakuja khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.

 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mkuu Wacha1, sasa weka picha mfululizo hapa mpaka paeleweke! Tukio baada ya tukio hii itawasaidia kuwa update kina Eqlypz, na Belinda ambao hatukujumuika nao leo.
Mkuu nilikuwa na engagement ya kifamilia ndio kwanza nimerudi nyumbani.... Kwa kweli performance niliyoiona kuanzia dakika ya 81 imenitia kichefuchefu.
 
Waungwana nimeangalia mechi kuanzia dakika ya 80 it was a very disgusting performance from man utd, congratulations kwa city... Ngoja niangalie highlights kwanza... Kama tukiendelea kucheza namna hii we don't deserve anything that includes champs league na epl.

count out the number of tough game we have played in the prevous 2 weeks. so lazima wachezaji wachoke tu
 
Waungwana nimeangalia mechi kuanzia dakika ya 80 it was a very disgusting performance from man utd, congratulations kwa city... Ngoja niangalie highlights kwanza... Kama tukiendelea kucheza namna hii we don't deserve anything that includes champs league na epl.


EQLYPZz!!!

pole kaka,
Hayo ya CL na EPL yaachie yataji sort out yenyewe bana,

Ugulia la leo kwanza!
 
Waungwana nimeangalia mechi kuanzia dakika ya 80 it was a very disgusting performance from man utd, congratulations kwa city... Ngoja niangalie highlights kwanza... Kama tukiendelea kucheza namna hii we don't deserve anything that includes champs league na epl.

Wacha uongo wewe umeuona mchezo wote khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

 
count out the number of tough game we have played in the prevous 2 weeks. so lazima wachezaji wachoke tu

timu si imesajili wachezaji 30 ,,sasa mambo ya kuchoka yanatoka wapi? weka wapya ambao hawajacheza hizo mnaita gemu ngumu
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Duuu nimemiss mpira aisee....Lakini wapenzi wenzangu wa Man U tupo pamoja na mpira siku zote unadunda...Leo tumewaachia na wenyewe watoto wafurahi
 
timu si imesajili wachezaji 30 ,,sasa mambo ya kuchoka yanatoka wapi? weka wapya ambao hawajacheza hizo mnaita gemu ngumu

Think mkuu hata kama imesajili wachezaji 30 hawezi kuweka nje kisa wamechoka lazima apange full kikosi so ni sawa kama mkuu alivyosema wachezaji wamechoka sana!
 
Manchester-City-v-Manchester-United-Antonio-V_2586452.jpg



Manchester collides at Wembley as City battle with fierce rivals

United in an FA Cup semi-final.

Nasikia mining'ono hapa baloteli alimkonyeza rio baada ya mtanange kwisha .... .... . .
 
Back
Top Bottom