Mkuu, kuwa na heshima tafadhali hujui nini kilichonifanya nikamiss dakika za mwanzo. So tafadhali sana.Wacha uongo wewe umeuona mchezo wote khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Tumecheza 4-5-1?
Mkuu, kuwa na heshima tafadhali hujui nini kilichonifanya nikamiss dakika za mwanzo. So tafadhali sana.
Uwa simiss game zetu wala kukimbia jukwaa.
Speaking of fighting ngoja nimuangalie Amir Khan nikisubiria highlights....! Siamini tumewapa Citeh kikombe duh!!...4-4-2... Hair-raiser best formation mpaka Babu Scholey alipotuonyesha Kung-fu fighting!
Mkuu, kuwa na heshima tafadhali hujui nini kilichonifanya nikamiss dakika za mwanzo. So tafadhali sana.
Uwa simiss game zetu wala kukimbia jukwaa.
Mkuu nilikuwa na engagement ya kifamilia ndio kwanza nimerudi nyumbani.... Kwa kweli performance niliyoiona kuanzia dakika ya 81 imenitia kichefuchefu.
EQLYPZz!!!
pole kaka,[/COLOR]
Hayo ya CL na EPL yaachie yataji sort out yenyewe bana,
Ugulia la leo kwanza!
Wakuu tupeane pole tuko pamoja...........pamoja na kupoteza another treble kwenye hii season bado tunayo mengine mkononi
Ngoja nijipooze kidogo kwa kucheko Almeria na Valencia wakati tunangoja El-Classico
Never give up.....Glory, Glory Man Utd
![]()
Man City fans are desperate to reach next month's final as they bid
to end their long wait for a trophy.
![]()
Celebrity City fan Noel Gallagher watches from a box at Wembley.
![]()
Yaya Toure celebrates after putting Man City into the lead in the second half.
nisamehewe naomba,but nilikuwa nafikiri ni mwanamke....good to know he is a man!
khekhekhekkehheeekhhehehehh![/B]....tupe kwanza kikombe bana,
mbona unakuwa hivyo?
Mkuu to be fair walioanza kuzungumzia treble ni wahandishi wa habari na pundits wa kwenye TV na mashabiki walio deluded lakini level headed fans walikuwa kimya kwenye hili.....wafunike kamanda, wafunike!
Kichapo cha leo kinawauma acha tu!...
haya sasa, na hawa walikuwa wanahesabu makombe matatu,...yamebakia mawili.... countdown!....