Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,876
Kwanini kimya kimya Mkuu? hahahahaha LOL!
...Wenyeji wametususia jamvi! hii ni halali kweli? aaah....
Sikutegemea Manure nao wana vijitabia kama vya Chelsea wakifungwa.
Kwanini kimya kimya Mkuu? hahahahaha LOL!
Wakuu jitokezeni mpira bado dakika 20 na ushee khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
...Wenyeji wametususia jamvi! hii ni halali kweli? aaah....
Sikutegemea Manure nao wana vijitabia kama vya Chelsea wakifungwa.
...Wenyeji wametususia jamvi! hii ni halali kweli? aaah....
Sikutegemea Manure nao wana vijitabia kama vya Chelsea wakifungwa.
Pole Scholes red card khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mmepata sababu sasa .... .
Bado watakuja tu kuna dakika kama 20 za majeruhi khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
hahahahahah LOL! nadhani wako jirani...Hawa wana kawaida ya kujificha na kuwa wachunguliaji tu wakishafanya vitu vyao ndio wanaibuka toka mafichoni. Wakiadhirika basi huwa wanasepa kimya kimya LOL! BJ & Co where are you guys!? we miss you!!!
Inaumaaaaaa.....asante sana Xuls na Kariki kwa kuuza mechi.
Nkalale mie,ila sina uhakika kama usingizi utakuja leo.
hatuna visingizio kama nyinyi
umefurahiiii leo
duuuuuuhhhhh 5 minutes extra time? ha ha ha...haya rudisheni basi!
sijui nitoe hongera au Pole au vyote? pokea unaloona unastahili wewe na wapenzi wenzio wa MAN U!!