....he he he! vipi wakuu, mbona tunakimbiana na mapema?
Dah kimenuna, tunapigwa hivi hivi kizembe
Huyu Carick ***** kweli anacheza kama Diaby
Worry not we will be back soon
Fergie mwingize Chicharito tumalize biashara
....he he he! vipi wakuu, mbona tunakimbiana na mapema?
Huyu Carick ***** kweli anacheza kama Diaby
Wacha kumsingizia Diaby alifunga last match khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Baada ya kupata kikombe cha Babu khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
...ohoooooo, weshaanza kubebwa!
No problem its just a game
Tupo mkuu.,................... japo kweli leo kimenuka maana pressure juu
Anyway, we hope for a big come back
...he he he, huyu Shaun Wright-Phillips huwa hakosi kuwafunga!
haya na tuangalie kimya kimya....LOL!