Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,249
- 2,156
:angry: ni kweli Papizo....naona Park kafanya kweli,ndo maana nilikuwa nataka avunjwe,nilijua atafunga goli leo.....:angry::angry:
Kabisa yaani...naona ulimuombea ila kakupa zawadi haha
:angry: ni kweli Papizo....naona Park kafanya kweli,ndo maana nilikuwa nataka avunjwe,nilijua atafunga goli leo.....:angry::angry:
ndo raha ya MAN bwana,within seconds mambo yanakuwa shwari.....kazi kwetu washabiki wa Arsenal.....l.o.l
ndo raha ya MAN bwana,within seconds mambo yanakuwa shwari.....kazi kwetu washabiki wa Arsenal.....l.o.l
eti drogba sijui gbagbo!! park ji sung can do it even better
Njoo huku bwana hama huko ARSENAL...Huku ndio kwenye mpira.....hahaha
For sure, Manure wanafurahisha sana!!..Tatizo Arsenal wanafurahisha mechi moja halafu wakifululiza huzuni ni mpaka mnachanganyikiwa na AW wenu!!..ila ndio kandanda mamii!!..Good to see you here Michelle!!
kalale wewe,nani kakuruhusu kuangalia TV hadi saa hizi?? shule utachelewa kuamka.....l.o.l
Haiwezekani bana....
Mi nataka kuhamia Wolves bwana......:bored::bored: