Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hahahahaha! staili yangu leo n kimyakimya...
Hongeren wanazi wenzagu...kina Eqlpz, Mfarisayo, BJ, Mbu Aw, Wacha, Balatanza, Mamods wooote, Ogah RR, Papizo, AW, Peasaant, BJ, Michelle, Belo, nani wewe jina lakooo....ehhh, ww, asante sana kwa kutuunga mkonoo...nimeamini nyie ni Manure damdam....
Tukalale.

Bado weekend mkuu tunakandamiza tena.....
 
For sure, Manure wanafurahisha sana!!..Tatizo Arsenal wanafurahisha mechi moja halafu wakifululiza huzuni ni mpaka mnachanganyikiwa na AW wenu!!..ila ndio kandanda mamii!!..Good to see you here Michelle!!

BJ tatizo letu kubwa ni ubahili wa kutotaka kununua wachezaji wazuri ambao wengi gharama zao za kuwapata nazo ni kubwa. Tunataka rahisi rahisi matokeo yake tunakuwa na timu ambayo haina uzoefu wa kutosha katika mashindano mbali mbali. Matokeo yake ni huzuni kila mwaka lakini wakati huo huo bank account imenona ile mbaya!
 
Wacha tupe hongera zetu leo!..hatujatoa bahasha bwana, teh teh teh

Yale maua ya augusta bei yake ilikuwa mbaya sana, lakini sasa tupo kwenye msiba kwa sababu bundi amerudi darajani wakuda wote wa mafioso bado hawakubali yaishe. Mbona nimetoa hongera hapo juu kwa kuwafunga 10 men Chelsick. I mean 10 against 11 utaona peasant wakija hapa na mimi nimeanza makusudi tu khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Vipi tena BJ unataka kumteka nyara mwanachama wetu!? Vibaya hivyo BJ! Katafute wapenzi wapya ambao hawana timu hahahaha ili wajiunge huko kwenu. Tuachie Michelle wetu pamoja na kuwa tunasuasua LOL! Tulifanya party kubwa sana siku ya kumkabidhi card

Arsenal hata ishuke daraja BAK....tutabanana pale pale....unaambiwa usiteme Big G kwa karanga za kuonjeshwa.....sifanyi kosa...!!

He he he he BJ, Manda,Mfarisayo,Eqylpz,Papizo usiku mwema,tuko pamoja!!
 
hernandez_1290959a.jpg


JI-SUNG PARK ruined 10-man Chelsea's sudden fightback to put United one huge step closer to the Treble.


Javier Hernandez's 42nd minute opener left United cruising into the Champions League semi-finals, especially once Ramires saw red for his second bookable foul midway through an even second period.
 
Vipi tena BJ unataka kumteka nyara mwanachama wetu!? Vibaya hivyo BJ! Katafute wapenzi wapya ambao hawana timu hahahaha ili wajiunge huko kwenu. Tuachie Michelle wetu pamoja na kuwa tunasuasua LOL! Tulifanya party kubwa sana siku ya kumkabidhi card

hahaha sawa mkuu wala hamna tatizo....ila ndio hivyo mkuu inabidi kukubali tu matokeo.....ila tuangalie weekend ssasa tuone itakuwaje....
 
Hii safi sana back to back win itawafanya Chelsick wawakung'ute Manure kwenye EPL hivyo kuwapotezea points good move mafioso khe khe khe khe khe khe hapo ndipo Manure watakapolia na kusaga meno. Wakati chichi tunakunywa mvinyo Emirates.

Tuombe hivyo Mkuu lakini hawa MANU sasa hivi wana confidence ya hali ya juu sidhani kama watapoteza mchezo huo sana sana itakuwa draw.
 
Arsenal hata ishuke daraja BAK....tutabanana pale pale....unaambiwa usiteme Big G kwa karanga za kuonjeshwa.....sifanyi kosa...!!

He he he he BJ, Manda,Mfarisayo,Eqylpz,Papizo usiku mwema,tuko pamoja!!

Powa na wewe pia usiku mwema....naona leo utalala vizuri au sio??
 
Yale maua ya augusta bei yake ilikuwa mbaya sana, lakini sasa tupo kwenye msiba kwa sababu bundi amerudi darajani wakuda wote wa mafioso bado hawakubali yaishe. Mbona nimetoa hongera hapo juu kwa kuwafunga 10 men Chelsick. I mean 10 against 11 utaona peasant wakija hapa na mimi nimeanza makusudi tu khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Hukosi visingizio mbona wao kwenye ligi walikuwa 11 na sisi 10 haukuongea? Na hata hivyo mbona tayari walishaloweshwa since wapo 11 uwanjani
 
Tuombe hivyo Mkuu lakini hawa MANU sasa hivi wana confidence ya hali ya juu sidhani kama watapoteza mchezo huo sana sana itakuwa draw.

Mkuu labda tusaidie bana maana naona jamaa hataki kukubali kama MAN U wanacheza mpira.....
 
Huyu torres wamtafutie mechi ya reserves kati kati ya wiki hili apate hata kagoli kamoja huko kitaweza kumsaidia kumuondolea gundu.
 
Hukosi visingizio mbona wao kwenye ligi walikuwa 11 na sisi 10 haukuongea? Na hata hivyo mbona tayari walishaloweshwa since wapo 11 uwanjani

Mkuu huyu jamaa hakubali kabisa kila siku anakuja na sababu hahaha.....
 
Kama nilivyosema wiki iliyopita bila refa wa kiingereza Chelsea hawawezi kutufunga heehe!! Ila duh hawa Chelsea wana gundu gani kwenye Champions League maana lazima wapate red cards.
 
Back
Top Bottom