Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,249
- 2,156
Huyo Rio si atoke tu? Siiifa tu!
Aende wapi mkuu??kwanza kaumia sana???hahha karoho kamauma enheee???
Huyo Rio si atoke tu? Siiifa tu!
Sasa kama kocha na yeye wanaona anaweza kuendelea wewe shida yako nini?Huyo Rio si atoke tu? Siiifa tu!
Park tunamuita Three LungsDuuu PARK nimemkubali anacheza sio mchezo.....
Nimemiss first half.
Park tunamuita Three Lungs
Sasa kama kocha na yeye wanaona anaweza kuendelea wewe shida yako nini?
Tukimbie twende wapi chichi masubiri majeruhi tu hapa khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee
Chelsea naona wameshakubali matokeo....:bored::bored::bored:
Chelsea naona wameshakubali matokeo....:bored::bored::bored:
Hahahahahahah sio nuksi bali najaribu kuufanya Usheikh Yahya LOL! Nikiuweza na mimi nasema nimeoteshwa ndotoni naanza kuwachuna Wabongo! Buku 10 tu nakutabiria kila kitu chako na mpaka magonjwa yanayokujia huko siku za usoni....Ukitaka yasikupate ongeza buku nyingine 10 ili BAK ayaondoe hahahahaha LOL! habari za siku tele? BAK mzima kabisa.
Mbona haupo mkuu umeingia mitini nini??