Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,249
- 2,156
Ramires.....Chelsea wameumia kwa kutoka huyo kijana.......!!kazi kweli kweli....!:disapointed:
Mpira una dunda lakini usisahau hivyo sawa??
Ramires.....Chelsea wameumia kwa kutoka huyo kijana.......!!kazi kweli kweli....!:disapointed:
Kuna majukwaa mawili moja la Mafioso wenzenu khe khe kh ekheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Angalieni tofauti ya bei Javier Hernandez 6 million pounds, Fernando Torres 50 million pounds...heehe tofauti tumeiona uwanjani.
Angalieni tofauti ya bei Javier Hernandez 6 million pounds, Fernando Torres 50 million pounds...heehe tofauti tumeiona uwanjani.
Bravoooo Drogba.....at least!
Mpira una dunda lakini usisahau hivyo sawa??
Bravoooo Drogba.....at least!
Aggr Drogba, du!!..haya sasa, kama siyo kichapo sijui!!...
Aggr Drogba, du!!..haya sasa, kama siyo kichapo sijui!!...
Man 2-Chelsea 1..presha ime-stabilize🙂)) lol