Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hongereni wakuu kwa kuwafunga 10 man Chelsick team nafikiri wangekuwa 11 against 11 mambo yangebadilika mna bahati sana khe khe khe kheeeeeeeeeeeee
 
Acha tu,na mimi nishakuwa kama Torres,timu nayoipenda haichukui kombe na niki divert kusapoti nyngine nayo inafungwa....kazi kweli kweli...

Good to see you too Belinda....siku nyingi kidogo,hopefully you are good!

Tho si fan wa Liver ila nilimfagilia sana Torres sema alivyohamia Chelsea naona nuksi imemuandama!..Still,I feel Steven Gerrard!!
Sasa wewe inabidi uhame timu, hebu angalia matunda msimu mzima fanya evaluation na uamuzi wa maana kuingia Red Devils..mechi muhimu hatuzugagi, yani Manure For Life mimi tangia enzi za Eric Cantona!! ha ha

I'm good dear, majukumu tu ndugu yangu!..it was good kufuatilia mpira na wewe, naona una damu ya mashetani wekundu🙂)
take care!!
 
mmh sheikh mimi nakuogopa..fingers crossed matokeo yabaki yalivyo🙂) itabidi niongeze mwekundu ili ubadili matokeo na utabiri,lol
Nipo BAK,salama kabisa..vizuri kusikia nawe u mzima wa afya..

Hongereni sana BJ & Company kwa ushindi mnono. Haya we ongeza mwekundu labda utabiri wa BAK utabadilika 🙂
 
Hiyo ilikuwa goli la drogba, sijatulia mara limeongezwa la pili kwa Maure!!
Papizo naombea mpira uishe hapa hapa mana presha hizi sasa!!dakika zinayoyoma lakini!

Tumeshanda Belinda kwa raha zetu wapiga kelele waliokuwa wanatuombea vibaya naona wameingia mitini....
 
Naona furaha mtindo mmoja leo lol.

Hongera sana.

Yani AW leo nina furaha sana..mana kuna mambo matatu yamenifurahisha sana siku ya leo, mojawapo huu ushindi..
Imebidi niingie pub kupata glasi ya wine na kesho sijui kama kazini kunakwendeka au itakuwa late, ha ha

Thanks a lot!..
 
Acha tu,na mimi nishakuwa kama Torres,timu nayoipenda haichukui kombe na niki divert kusapoti nyngine nayo inafungwa....kazi kweli kweli...

Good to see you too Belinda....siku nyingi kidogo,hopefully you are good!

Embu divert kwenda Old Fire uone kama hautapata raha na vikombe ( Si vya Babu)
 
Hahahahaha! staili yangu leo n kimyakimya...
Hongeren wanazi wenzagu...kina Eqlpz, Mfarisayo, BJ, Mbu Aw, Wacha, Balatanza, Mamods wooote, Ogah RR, Papizo, AW, Peasaant, BJ, Michelle, Belo, nani wewe jina lakooo....ehhh, ww, asante sana kwa kutuunga mkonoo...nimeamini nyie ni Manure damdam....
Tukalale.
 
FernandoTorres_2584871.jpg


Mzee wa nuksi

Huyu bundi wenzako wamemnunua kwa Pound mil 50 ha ha ha ha.
 
Hongereni kwa ushindi wakuu, and wish you the best for the semi-final.
 
Tumeshanda Belinda kwa raha zetu wapiga kelele waliokuwa wanatuombea vibaya naona wameingia mitini....

Hapo nakumbukia nilivyokuwa chuoni, yani mpira ukiisha tu ni full kelele mlimani!..hizi timu zinatu-drive crazy sijui kwanini!..Foodball is the best sport game to watch kwa upande wangu!!
Kudoz to fellow Manchester United Fans wana wa Old Trafford!!..
 
Njoo huku bwana hama huko ARSENAL...Huku ndio kwenye mpira.....hahaha


Vipi tena BJ unataka kumteka nyara mwanachama wetu!? Vibaya hivyo BJ! Katafute wapenzi wapya ambao hawana timu hahahaha ili wajiunge huko kwenu. Tuachie Michelle wetu pamoja na kuwa tunasuasua LOL! Tulifanya party kubwa sana siku ya kumkabidhi card
 
Hongereni wakuu kwa kuwafunga 10 man Chelsick team nafikiri wangekuwa 11 against 11 mambo yangebadilika mna bahati sana khe khe khe kheeeeeeeeeeeee

Acha hizo mkuu mbona huwa hamkubali???
 
Mwoga wewe nasikia ulikuwa unachungulia tu Drog the bar anaweka chuma khe khe keh khe ke khe Park naye anaweka chuma kingine khe khe kheeeeeeeeeeee

Wacha tupe hongera zetu leo!..hatujatoa bahasha bwana, teh teh teh
 
Yani AW leo nina furaha sana..mana kuna mambo matatu yamenifurahisha sana siku ya leo, mojawapo huu ushindi..
Imebidi niingie pub kupata glasi ya wine na kesho sijui kama kazini kunakwendeka au itakuwa late, ha ha

Thanks a lot!..


Hii safi sana back to back win itawafanya Chelsick wawakung'ute Manure kwenye EPL hivyo kuwapotezea points good move mafioso khe khe khe khe khe khe hapo ndipo Manure watakapolia na kusaga meno. Wakati chichi tunakunywa mvinyo Emirates.
 
Hapo nakumbukia nilivyokuwa chuoni, yani mpira ukiisha tu ni full kelele mlimani!..hizi timu zinatu-drive crazy sijui kwanini!..Foodball is the best sport game to watch kwa upande wangu!!
Kudoz to fellow Manchester United Fans wana wa Old Trafford!!..

Kabisa huu mpira unarufanya matahira hahaha ila una raha yake bana....sasa bado jumamosi tunamkandamiza mtu....haha
 
Yani AW leo nina furaha sana..mana kuna mambo matatu yamenifurahisha sana siku ya leo, mojawapo huu ushindi..
Imebidi niingie pub kupata glasi ya wine na kesho sijui kama kazini kunakwendeka au itakuwa late, ha ha

Thanks a lot!..
Una haki ya kuchelewa kazini kesho.
 
Back
Top Bottom