Eddy Love
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 13,655
- 8,584
HAO WANAFUFUKA TIMU IKISHINDA R.I.P LIVERFOOLHawa mashabiki maandazi utawaweza, ngoja Loserfool ilirudi kuwa Loserfool utaona jinsi watakavyokimbia jukwaa lao. Sasa wanabwatukabwatuka tu
HAO WANAFUFUKA TIMU IKISHINDA R.I.P LIVERFOOLHawa mashabiki maandazi utawaweza, ngoja Loserfool ilirudi kuwa Loserfool utaona jinsi watakavyokimbia jukwaa lao. Sasa wanabwatukabwatuka tu
mkuu application anayo lakn anashndwa tazama mie mbona naziona channel yapata 4 inaonyesha mpiraKuna goal9.com
Kama ulikuwa hujui umuhimu wa Fellaini leo ndio utaujua. Ogopa sana mchezaji anaokoa mipira ya kona golini kwake na anakamata pale katikati na wakati huo huo yuko kule mbele anawania magoli.
Hao ndiyo Mourinho kawaita akina 'Einstein' wa sokamchambuz
Yaan kutoka tu kashapost
Wewe nawe sijui unaongea nini?! Kuwa online lazima usome gazeti? Ngoja nikwambie kuhusu mimi,siku man utd ikifungwa kijinga kama na watford huwa sisomi any sports news, na fyi ni kawaida sana wachezaji wanaoandamwa ku snub magazeti.Jamaa yupo online( social Media) halafu anataka tumwamini hasomagi magazeti. Kesho kutwa yeye na Ramsey watasema hawaendi saluni kutengeneza nywele zao. Wachezaji wa siku hizi bana.
Hio comment alinijibu mimi, nikaamua nimuache maana tunaongea lugha tofauti.mchambuz
Hio comment alinijibu mimi, nikaamua nimuache maana tunaongea lugha tofauti.
Mkuu una roho ngumu sana. Kweli wewe gunner.At the end we will see
Yeye kasema hasomi magazeti...sasa wewe unajifanya unamfahamu zaidi. Are you his personal assistant or what?!? Unasema watu wengi, kwani katika hao watu wengi lazima Pogba awemo? Kwani pundits wote ni wa newspapers? Wengine si wa TV na Radio stations?Usiwe kama unatoka kwetu Sengerema..Hujui Watu wengi wanapata news, gossips through social media than conventional source. Na still yanayosemwa magazeti yanakwenda hadi social media. Hao waandishi, pundits wote wapo social media na wana follow and followed hawa wachezaji.
Jamaa yupo online( social Media) halafu anataka tumwamini hasomagi magazeti. Kesho kutwa yeye na Ramsey watasema hawaendi saluni kutengeneza nywele zao. Wachezaji wa siku hizi bana.
Nilisema kama Mourinho hatamuweka Rooney na Fellaini bench atapata shida sana, naona kaona tatizo liko wapi.
Naona sasa utakuwa umeelewa nilichokisema. Wengine huwa hatutizami mpira ili tuje kushangilia tu huwa tuna-analyse game.Kama ulikuwa hujui umuhimu wa Fellaini leo ndio utaujua. Ogopa sana mchezaji anaokoa mipira ya kona golini kwake na anakamata pale katikati na wakati huo huo yuko kule mbele anawania magoli.
mkuu application anayo lakn anashndwa tazama mie mbona naziona channel yapata 4 inaonyesha mpiraKuna goal9.com
wakaanga sumuNawaona Sliman kwa mbali na Vardy wanashauriana, nadhani ni suala la kuwafunga Leo wanafanya makubaliano nani aanze kufunga na wameona wampe Mussa kazi kwenu.
mkaanga sumuKagoli kamoja tu!?????