Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

This goes to all [HASHTAG]#WakaangaSumu[/HASHTAG]
 

Attachments

  • image.jpeg
    image.jpeg
    124 KB · Views: 34
Leo tunaua mtu..nimependa hiki kikosi.
Viungo=Carrick, Fellaini, Pogba
Forward=Ibra,Rooney,Rashford
 
Mou inabidi aijenge man u kupitia pogba sio rooney tena
 
Mimi I always said united lineup bila either Hererra or Mata creativity huwa inakosekana...this one looks promising ngoja tuone.
 
Nilisema kama Mourinho hatamuweka Rooney na Fellaini bench atapata shida sana, naona kaona tatizo liko wapi.
Kama ulikuwa hujui umuhimu wa Fellaini leo ndio utaujua. Ogopa sana mchezaji anaokoa mipira ya kona golini kwake na anakamata pale katikati na wakati huo huo yuko kule mbele anawania magoli.
 
4-3-2-1 ndiyo formation...Mata anacheza 10..Anders 6 na Pogba 8...ngoja tuone itakavyokuwa. Lakini I'm very optimistic na kikosi haswa nikimuona Anders na Mata ndani..
 
Kama ulikuwa hujui umuhimu wa Fellaini leo ndio utaujua. Ogopa sana mchezaji anaokoa mipira ya kona golini kwake na anakamata pale katikati na wakati huo huo yuko kule mbele anawania magoli.
Naona point yako hapa...coz kwenye hiki kikosi sioni yule mtu wa kukata umeme pale kati i think Angemuanzisha Carrick instead ya lingard halafu Pogba apande juu the pembeni Mata.
 
Nawaona Sliman kwa mbali na Vardy wanashauriana, nadhani ni suala la kuwafunga Leo wanafanya makubaliano nani aanze kufunga na wameona wampe Mussa kazi kwenu.
 
4-3-2-1 ndiyo formation...Mata anacheza 10..Anders 6 na Pogba 8...ngoja tuone itakavyokuwa. Lakini I'm very optimistic na kikosi haswa nikimuona Anders na Mata ndani..
Watu hawamuongelei Lingard ila dogo ndio muhangaikaji wa game nilikuwa nikijiuliza why hapangwi labda kama alikuwa kaumia. mbele ndio tofauti leo kama hawajawashambulia Leicester mapema Man U wataumizwa.
 
Back
Top Bottom