Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

POGBA: 'I'm v happy for the result & for the goal. I never look at newspapers but I always say one thing: at the end we will see”
CtH2IvvXgAAQHKk.jpg
Yaan kutoka tu kashapost
 
Hutakaa uwaone tena..Man U imesharudi
😀😀 Urafiki wa kweli ni katika shida na raha,sasa wao wanasubiri msiba hawa hapa,ikija sherehe wanatupita huku wamefunga vioo humu kama hawatujui,njooni jamani tusheherekee POGBACK,nitaushauri uongozi wa jf urudishe ile system ya kuonyesha idadi ya guests walioko online
 
Najua Leo Muna Furaha Lakini Hata Hivyo Nasisi Tumeamua Kuwalipia Kwa Hull City Kwa Kile Kipigo Cha Watford Walicho kuekeni Sawa Last Week Manake Sasahivi Tushawabandika 3 kwa Duara.
 
POGBA: 'I'm v happy for the result & for the goal. I never look at newspapers but I always say one thing: at the end we will see”
CtH2IvvXgAAQHKk.jpg

Jamaa yupo online( social Media) halafu anataka tumwamini hasomagi magazeti. Kesho kutwa yeye na Ramsey watasema hawaendi saluni kutengeneza nywele zao. Wachezaji wa siku hizi bana.
 
Jamaa yupo online( social Media) halafu anataka tumwamini hasomagi magazeti. Kesho kutwa yeye na Ramsey watasema hawaendi saluni kutengeneza nywele zao. Wachezaji wa siku hizi bana.
Braza, that's so lame. Kuwa online kwenye social media ndiyo kusoma magazeti?
 
Braza, that's so lame. Kuwa online kwenye social media ndiyo kusoma magazeti?

Usiwe kama unatoka kwetu Sengerema..Hujui Watu wengi wanapata news, gossips through social media than conventional source. Na still yanayosemwa magazeti yanakwenda hadi social media. Hao waandishi, pundits wote wapo social media na wana follow and followed hawa wachezaji.
 
Back
Top Bottom