UrbanGentleman
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 2,584
- 1,886
At the end we will seeLEO CJUI WATASEMA NN WALE MAJIRAN ZETU
At the end we will seeLEO CJUI WATASEMA NN WALE MAJIRAN ZETU
Yaan kutoka tu kashapostPOGBA: 'I'm v happy for the result & for the goal. I never look at newspapers but I always say one thing: at the end we will see”
![]()
😀😀 Urafiki wa kweli ni katika shida na raha,sasa wao wanasubiri msiba hawa hapa,ikija sherehe wanatupita huku wamefunga vioo humu kama hawatujui,njooni jamani tusheherekee POGBACK,nitaushauri uongozi wa jf urudishe ile system ya kuonyesha idadi ya guests walioko online![]()
![]()
Hutakaa uwaone tena..Man U imesharudi
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Najua wachawi wote leo mmenuna, pogba kawaangusha na ungo mchana kweupeGalasa limekula turufu
Alisema hayo kwenye post-match interview buda..Yaan kutoka tu kashapost
Umesomeka mkuuAlisema hayo kwenye post-match interview buda..
Mkuu..sio..kitu..nikupost...hayo..maneno..aliyasema...kwenye..mahojiano..baada..ya..mechiYaan kutoka tu kashapost
Hull city walimuweka sawa nani? Kuwa na takwimu zilizo sawa ngwabaNajua Leo Muna Furaha Lakini Hata Hivyo Nasisi Tumeapua Kuwalipia Kwa Hull City Waliokuekeni Sawa La Week Manake Sasahivi Tushawabandika 3 kwa Duara.
POGBA: 'I'm v happy for the result & for the goal. I never look at newspapers but I always say one thing: at the end we will see”
![]()
Braza, that's so lame. Kuwa online kwenye social media ndiyo kusoma magazeti?Jamaa yupo online( social Media) halafu anataka tumwamini hasomagi magazeti. Kesho kutwa yeye na Ramsey watasema hawaendi saluni kutengeneza nywele zao. Wachezaji wa siku hizi bana.
Hawa mashabiki maandazi utawaweza, ngoja Loserfool ilirudi kuwa Loserfool utaona jinsi watakavyokimbia jukwaa lao. Sasa wanabwatukabwatuka tuHull city walimuweka sawa nani? Kuwa na takwimu zilizo sawa ngwaba
ACHA TUENJOY TYM HIIHawa tulitakiwa tuwafunge bila ya wao kuona nyavu.. ila sio mbaya
UYO ATAKUWA KALA UGALI KWA MAJIHull city walimuweka sawa nani? Kuwa na takwimu zilizo sawa ngwaba
Braza, that's so lame. Kuwa online kwenye social media ndiyo kusoma magazeti?