ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 18,428
- 24,145
hahaha hapa nlpo kaa Kuna watu wanaongea ujinga... Rashfod alvyo funga Kuna mjinga hapa anasema huyo mtoto ata kwenye harus ya dadake ajaenda kwaajil ya mpira dadake juz juz tu kaolewa.. Sa naumiza kichwa hapa dadake nan.. Hahaha ety Shamsafod 












