Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,382
- 10,951
Kile cha 5-3? Doh! Usaga sumu ukichanganya na ukaangu sumu ni hatari sana...yaani ili mradi ujitutumue tu, hadi unazungumzia matokeo ya misimu miwili/mitatu iliyopita!!Hahaaaa msagasumu hongereni ingawa post yangu ilijieleza mapema naona mlitaka kurudisha kile kipigo cha 5

watu cjui huwa wanawaza nn