Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Atamlaumu mwamuzi na baadhi ya wachezaji.
Mou ashukuru, afanye maombi kabisa. Mwanzoni mwa mchezo watford,timu mkia wa mbuzi walikosa mabao 2 ya wazi, moja lilikuwa la kugusa mpira tu kuelekea wavuni, "De gunia" alipotea mtaa hakuwa langoni. Hii mechi ililazimika kumaliza 5-1. Hili 1 la Man disunited lilipasa kuwa lile la Pogba alipojaribu kukopi na kupaste lile bao alilofunga Xhaka,"chaka" jana.
 
1474205849734.jpg
 
Tatizo Mou analazimisha timu iwe ya kiingereza kwa kuwaridhisha waingereza kumchezeaha Rooney, hiyo ni namba ya Pogba anayomlazimisha Rooney acheze, Rooney ni striker na bahati mbaya Ibracadabra is far better than Rooney, which means Rooney anatakiwa awe bench, hili ni tatizo mojawapo litaloingarimu Manu.

Si wanasema hiyo ndiyo timu ya malkia mwenyewe?

lol
 
Nnafahamu hilo ila Fellaini ana tatizo ka nidhamu.

Baada ya Juan Zuniga kufunga goli la pili akaenda kumkwatua.

Baadae amesababisha penalty.

Nimekuwa nikimwangalia Fellaini tangu akiwa Everton na hata timu ya nchi yake ya Belgium.

Mwaka 2014 Fellaini alitajwa kuwa ni mmoja wa worst signings of the season in England.

Fuatilia idadi ya kadi alizo nazo na namba ya suspensions ndiyo utaelewa.

Msimu wake wa kwanza England akichezea Everton Fellaini alipewa kadi mara 10 katika mechi 17 na ikabidi akutane na meneja wa waamuzi kuzungumzia hali hiyo na akaapa kujirekebisha ingawa baada ya mkutano huo alipewa kadi zingine 3 katika mechi 16 alizocheza hivyo kuonyesha improvement.

Nazungumzia Fellaini wa msimu huu sio huko nyuma,Hii gemu sio ya kumlaumu Fellaini.Since Mourinho kaja Fellaini ndio kiungo anayecheza vizuri
 
Wakaanga sumu naona mnajilamba midomo kweli kweli....haya bana, tambeni tu sasa, maana hakuna namna...ila ligi bado mbichi, msisahau hilo...kumbukeni katika EPL namna unavyoanza ligi uwa hauna maana sana....tusubiri hadi Disemba ndipo picha itaonekana...ingawa sina maana nafurahia matokeo ya timu sasa, ila bado sijaona what's the fuss, wakati ni mechi ya 5 tu..
 
Back
Top Bottom