radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Sio man u
manchester united hawawez kumchukua jack hata timu b hana namba kanachomesha kinoma kule halafu wenger analia balaa
Sio man u
Hahahahah Swahiba nashukuru kwa pole kwa kweli nimetulia sasa maana msiba ulikuwa mzito sana,haya nimepata maono eti Hilo jamvi leo tunalikalia kwako........ sasa nimeenda Mkulanga kuchukua kabisa Nazi ili tusikose angalau uji siku ya leo,tulie lakini uji uwepo![]()


.hongeren chiefSwahiba sijakuona kwenye kipamara kule kwetu maana dakika ya 90 yule Pweza wetu tuliemnunua kwa £ 35M kanyoosha Tegeta na Mkuranga naamini yule muuza jezi wako mkimpunguzia jukumu la kuchuuza jezi ipo siku atajaribu kutukana tusi la leo BTW tumetoa huduma ya 4G kwa Hull City.
hongeren chief


Chief ni wewe au kuna mtu ame-hack akaunti yako hapa?
Asante sana ila kesho utanisamehe nimemtuma kijana wangu Ighalo kuna point 3 utampa ni muhimu mpwa atakuja mchana hapo kwako![]()
tehee teheee ni mimi mpwa, hao akina ighalo saiz hawanipi shida mmeshachokoza sasa ni mwendo wa kichapo tu.Chief ni wewe au kuna mtu ame-hack akaunti yako hapa?
Asante sana ila kesho utanisamehe nimemtuma kijana wangu Ighalo kuna point 3 utampa ni muhimu mpwa atakuja mchana hapo kwako![]()
Safi hiyo ndio sporthongeren chief
Hongera sana aiseee!!!!Swahiba sijakuona kwenye kipamara kule kwetu maana dakika ya 90 yule Pweza wetu tuliemnunua kwa £ 35M kanyoosha Tegeta na Mkuranga naamini yule muuza jezi wako mkimpunguzia jukumu la kuchuuza jezi ipo siku atajaribu kutukana tusi la leo BTW tumetoa huduma ya 4G kwa Hull City.
Halafu uko online now ndo uko nchi gani nije kucelebrate nawe.....
Hii ndio officialView attachment 402489leo man u tunafanya MASSACRE
Nadhan baada ya ule utumbo wake, daley blind kaanza kusugua benchiHii ndio official
De Gea; Valencia, Bailly, Smalling, Shaw;
Pogba, Fellaini; Rashford, Rooney, Martial; Ibrahimovic.
Saa nane kamiliWakuu game saa ngap
Leo wings ziko vzurHii ndio official
De Gea; Valencia, Bailly, Smalling, Shaw;
Pogba, Fellaini; Rashford, Rooney, Martial; Ibrahimovic.
Shukran mkuu ngoja nijisogeze kibanda umizaSaa nane kamili
Poa pia ndugu. Mi nipo kimara hapa najisogeza kwenye banda letu linaitwa ManFree, lina chemba zinanuka ile mbayaaaa sema ndo lina ushabiki mkubwa ile mbayaaaaShukran mkuu ngoja nijisogeze kibanda umiza