Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nimemkubali Pogba anavyocheza kwa kujiamini,kweli amerudi nyumbani .

Rooney Leo anakimbia kila mahali ,workrate yake ndio itamfanya Mourinho aendelee kumpanga
 
Nimemkubali Pogba anavyocheza kwa kujiamini,kweli amerudi nyumbani .

Rooney Leo anakimbia kila mahali ,workrate yake ndio itamfanya Mourinho aendelee kumpanga
Dah! Jamaa namkubali sana, kesho naenda kununua jezi ya Pogba
 
Kadbraaaaaa

Dadeki, hili jitu limeshindikana sasa, hivi unamzuiaje huyu rafiki yake Nyavu????

Kweli uzee dawa, naona mzee anaendelea kuwaadabisha wenye midomo mirefu. hebu kujeni huku nyiee

BACK TANGANYIKA
Ukikaa kibanda cha mpira, kama una 35+ halafu unasikia jamaa wanasema, "Dah Rooney lishazeeka, Ibra na uzee huu anatupia tu"...unajihisi na wewe umekuwa mzee...

Ukiwa mwanasiasa miaka 35+ halafu upo kwenye kampeni utasikia, "Zitto, Mwigulu na January vijana kabisa" utajihisi kama bado mtoto...

Hongera mzee Ibra kwa kutupia, manure msimu umeanza vizuri.
 
Nimemkubali Pogba anavyocheza kwa kujiamini,kweli amerudi nyumbani .

Rooney Leo anakimbia kila mahali ,workrate yake ndio itamfanya Mourinho aendelee kumpanga
ni kweli arifu rooney leo kaonyesha kiwango!!! nadhani morinnho kawaruhusu wachezaji wa mbele namba 10,9,7 na 11 kucheza free. ndio maana utamwona martial yuko namba saba mara rooney yuko namba 11....kitu ambacho van gal alikua hataki!!!!

Yaaah pogba ni habari nyingine kabisa, hapa man u walilamba dume
 
Back
Top Bottom