Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Majirani leo huu mlango umekuwa wa Moto, Tena Moto wa Lava!!!

Nawataka wote waliokuwa wakidai Pogba hana thamani ya £89. Thamani na radha halisi ya Soka aka Football au Kabumbu kwa lugha ya kwetu inaonyeshwa hapa na huyu wana..!!

Kunajamaa alijiuzuru kushabikia Ars, Kafanya uamuzi mzuri, maana wenzake wanajing'oa nyongo. Sasa mlango uko wazi aja apate raha hapa OT

BACK TANGANYIKA

Wakaanga sumu utowaona uku tena.
 
uko sahihi mkuu....hasa kwenye kiungo na mbele...nimependa sana pogba anavyo miliki kiungo..anavyogawa mipira na jinsi alivyo stable na nguvu pia!!

Nadhani smalling inabidi ajiulize mara mbili kuhusu namaba yake pale nyuma
Uzuri wa Mau akishajua tu first eleven yake ndo hiyo hiyo hadi mwisho.siyo kama kina LVG hawajui first eleven zao
 
uko sahihi mkuu....hasa kwenye kiungo na mbele...nimependa sana pogba anavyo miliki kiungo..anavyogawa mipira na jinsi alivyo stable na nguvu pia!!

Nadhani smalling inabidi ajiulize mara mbili kuhusu namaba yake pale nyuma

Kama...smalling...atakuwa..vizuri...kama..last.season..basi..Blind...anakazi...
 
His future is uncertain at Man Utd.
Blind..hawezi..uzwa..msimu...huu...labda...apatikane....backup....ya..smalling...na..Baily...kuna..tetesi...tunahusishwa...na..Fonte...ambaye..31 old...wakati..Blind..ni..26 sasa
 
Ibra ni man of the match ... mechi mbili mfululizo sasa!
 
1471640376856.jpg
 
Back
Top Bottom