PNC
JF-Expert Member
- Feb 3, 2015
- 8,105
- 14,356
Bingwa wa La Liga na Bingwa wa kombe la MfalmeAnaugulia maumivu ya makombe matatu huyo msamehe bure.
Asante Barcelona
Bingwa wa La Liga na Bingwa wa kombe la MfalmeAnaugulia maumivu ya makombe matatu huyo msamehe bure.
Ila spain ntakuea team granada ike cku ya mwisho ya ligiKama ni hvo basi sawa![]()
yule Granada atakukulaIla spain ntakuea team granada ike cku ya mwisho ya ligi
Tunaendelea kufilisika tuDuhhh!!! Maisha bado yanaendelea....... #GGMU
Hahahayule Granada atakukula
kichapo cha mbwamwizi si chini ya goli 5.
Viva Barcelona
Basi sawa kipindi ss tunachukua La Liga kwa mara ya 24 wewe unawaza kumtimua kochaHahaha
Ntakufuata kule kule kwako we subir tuu

Mechi ya mwisho mnafungwa au ndroo Madrid anachukua kombe![]()
![]()
![]()
ni kweli Barca tuna roho mbaya kwani sikuzote sie ni wabakaji
HahaTunaendelea kufilisika tu
hatuna la kujivunia
Tukae kimya tuache mbwembwe
Yaah!ndio ushabiki huo kila mtu anapenda chake ila msiwachukulie poa kabisa jamaa wanaweza kuitia supu nazi.Bingwa wa La Liga na Bingwa wa kombe la Mfalme
Asante Barcelona
Nimemsahe tayariAnaugulia maumivu ya makombe matatu huyo msamehe bure.
Ndio inavyotakiwaHaha
Kwa sasa man u inabid tuwe waskilizaj zaid kuliko kuongea
Nasubir wamfukuze kocha tuu apa
Basi sawa kipindi ss tunachukua La Liga kwa mara ya 24 wewe unawaza kumtimua kocha![]()
![]()
![]()

Kuhusu hilo sahau na kama huamini nenda kabet uwe tajiri kuwa Barcelona hawatashindaYaah!ndio ushabiki huo kila mtu anapenda chake ila msiwachukulie poa kabisa jamaa wanaweza kuitia supu nazi.
Si ajabu Soton na West Ham wakapanda juu yetuUmeuona msimamo mkuu? Tunaweza tusibaki hapa endapo game ijayo tukapoteza tukashuka zaidi
Sababu zipi hizo?Mkuu kuna sababu nyingi sana za poch Kubaki spurs kuliko kuja utd
Rekodi ipi hiyo chifu?