Hahahaaaaaaa ndio man u yetu hii chiefUjue cja elewa elewa wamerudshaje
Ni ujnga huu sasa
Aaah yaan ndugu awa jamaa leo sina hamHahahaaaaaaa ndio man u yetu hii chief
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ningejua nilale tuuu wana npotezea mda na nguvu
Hahahaaaaaaa ndio man u yetu hii chief
Aaah, akibaki cdhan kama twenda popoteMkuu upo?
Man Utd inaundwa upya ni timu nzuri tu watu wanaongea lakini huyu mzee LVG anawasukia timu bomba sana.
Chris Smalling ame-improve sana na ukiangalia stats Man Utd haijafungwa goli nyingi sana msimu huu.
Ila hawatampa pesa nyingi safari hii lakini watanunua baadhi ya wachezaji.
Aaah, akibaki cdhan kama twenda popote
And game up...poleni wadau
Hamna jinsi wamlete tuu uyu van gaal ad atuache mbona tutakuwa kama watfordWanaweza kumtimua lakini unafahamu gharamaambazo wataingia Man Utd wakimtimua?
Hata wakimleta Mourinho nae atataka pesa atumie kufanya usajili na kumbuka mwaka jana walitumia 250M.
Nipo kiongozi wangu, hii timu inazidi kunikondesha tu, huyu mzee kabakiza mwka mmoja tu kwenye mkataba wake, hiyo timu ataisuka lini kaka? Timu imekua ikicheza mpira m booovu mno toka amefika afadhari ya Moyes,Mkuu upo?
Man Utd inaundwa upya ni timu nzuri tu watu wanaongea lakini huyu mzee LVG anawasukia timu bomba sana.
Chris Smalling ame-improve sana na ukiangalia stats Man Utd haijafungwa goli nyingi sana msimu huu.
Ila hawatampa pesa nyingi safari hii lakini watanunua baadhi ya wachezaji.
And game up...poleni wadau