Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

TEKNOLOJIA @ThName Vema mkaja ku-edit posts zenu teeeeehe teeeeehe

@cuteb ukiamka utakuta khanga zako za msibani zikiwa tayari

everlenk leso ya kujifutia machozi ipo wala usijali Mtani

Poleni sana wadau kazi za Depay na Carrick hazina makosa
Hahahahaha mtani yaani unaweza usiamini lakini sijui Hata hii mechi tulicheza yaani sipo dunia ya muchezo kabisaaaa aiseeee kumbe mlitufunga hongereni sanaaaa
 
Yaani ukiwasikiliza washabiki wa liverpool,arsenal,chelsea utafikiri man utd iko bottom three wakati tuko juu ya liverpool na chelsea na arsenal sijui katuzidi points nne hivi. Lakini nilichogundua ni kuwa walizoea united inawaacha points 10+
Statistically Man U and Liverpool are in the dead heat!Tunatengenishwa na points 3 tu na sisi tuna game mkononi

MAJOGOO yanamaliza juu ya Man U na hii hata ww RRONDO , cute b, na everlenk mnajua haya
 
My name is......

af9f2d6da61607081fe4ed3fd05db25e.jpg


Habari zenu ndugu zangu
Anahesabika kama mtu mwenye gundu mana hakuwasaidia wagonga nyundo
 
Hahahahaha mtani yaani unaweza usiamini lakini sijui Hata hii mechi tulicheza yaani sipo dunia ya muchezo kabisaaaa aiseeee kumbe mlitufunga hongereni sanaaaa

Yaani mtani sijui lolote kabisaaaaaaa na bora si kujua maana ningejiskia vibaya sana kuona Mteja wangu akikataa huduma yangu next time nitakupa kinachostahili ......lol

Teeeehe teeeeehe naona LVG kakupa likizo
 
MUFC XI v LFC :
De Gea;

Varela,
Smalling,
Blind,
Rojo;

Carrick,
Fellaini;
Lingard,
Mata,

Martial;
Rashford.

Subs:
Romero, Darmian, Valencia,
Williams, Schneiderlin, Schweinsteiger,
Memphis
#bring them
 
Back
Top Bottom