Kweli Carrick alichoma nyumba pale...shida ya kumcheza mtu asiye CB kwenye backline...yeye amezoea kupokea mipira na kutuliza...pale si angebutua tu...Kwiiii kwiiii kwiiiiii kaka Carick kachoma woyooooooooooo
Liva 2-0 Manyumbu
Ha ha! Hadi umeonekana leo? Kweli leo mmetuweza...lakini bado kazi haijaisha shehe!Shikamooni wakubwa tehteh nawapa Salamu Tu tumetumbua Tu Majipu msijali Sana tunajaribu kuwapasulia Jipu LVG mnaye Sana safari hii! Leo Mignolet nashukuru alikuwa Holiday! Boom Boom jipu.
Mkuu kwa Utd hii hakika hamtoboi kati ya perfomance mbovu ya leo ni moja wapo hamkua threat kabisa mfano 1st half nilikua sielewi mnacheza nini,poleni sana na w'end wagonga nyundo wanawasubiri.Kweli Carrick alichoma nyumba pale...shida ya kumcheza mtu asiye CB kwenye backline...yeye amezoea kupokea mipira na kutuliza...pale si angebutua tu...
Anyway, bado nina matumaini, ingawa kazi itakuwa ngumu sana...
#Believe
Mbona tumewafunga mara mbili kweli ligi? Lolote laweza kutokea katika soka, kama unafahamu maana ya msemo huo. Mngekuwa mmeshinda 2-0 OT, basi hakika chances za kushinda mechi ya pili, zingekuwa ndogo. Lakini kwa kuwa mnakuja na magoli 2 ugenini, lolote laweza kutokea, mkipigwa 2-0 ina maana mechi ipo even hapo...vile vile mwaweza kufunga goli 1 na kupita.Mkuu kwa Utd hii hakika hamtoboi kati ya perfomance mbovu ya leo ni moja wapo hamkua threat kabisa mfano 1st half nilikua sielewi mnacheza nini,poleni sana na w'end wagonga nyundo wanawasubiri.
Why kocha anachezesha 3-5-2 with Fellaini as CM and Carick as CB badala ya 4-4-2Kweli Carrick alichoma nyumba pale...shida ya kumcheza mtu asiye CB kwenye backline...yeye amezoea kupokea mipira na kutuliza...pale si angebutua tu...
Anyway, bado nina matumaini, ingawa kazi itakuwa ngumu sana...
#Believe
Hata mimi sikuelewa kabisa...katika jambo ambalo namchukia LvG ni hilo la kutumia 3-5-2...kipindi alitumia na kutoa excuse ya kukosa mabeki...sasa leo sijui atasema nini...sijaangalia post-match interview...halafu hii game nilikuwa nimetingwa kweli hata sijaifuatilia vizuri...Why kocha anachezesha 3-5-2 with Fellaini as CM and Carick as CB badala ya 4-4-2
Naona unajifariji kwa kipigo cha janaUlishasikia msiba kuhama????!
Yani mwombolezaji kafia msibani...
Khe khe khe khe kheeeeeeee
Duh nimecheka kinoma mkuu asante mbavu zangu zimefanya mazoezi tosha,Etiiiii mmwombolezaji kafia wapi haaaa haaa...!Ulishasikia msiba kuhama????!
Yani mwombolezaji kafia msibani...
Khe khe khe khe kheeeeeeee
Naona unajifariji kwa kipigo cha jana
Duh nimecheka kinoma mkuu asante mbavu zangu zimefanya mazoezi tosha,Etiiiii mmwombolezaji kafia wapi haaaa haaa...!
Everlenk yuko wapi jamani nasikia vilio vya wababa tu au marehemu hana ndugu wa kike?
Kwa hiyo macho na akili yako inaishia Kiluvya tu?!? Dunia kubwa hii, wewe unalala, wengine wanaamka, wengine wapo kazini, wengine wanatoka kazini n.k.Kalenda na saa yangu vinaniambia jana ilikuwa 10/03/2016, Alhamisi, siku ambayo Man Utd alifungwa bila aibu. 78% kwa 22% possession.!!
Hahaaaaaa hii post utaikataa baadaye