IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,739
- 7,087
Eti martial world class hahahahahahhaa joke of the month
Mkuu WHU hii timu ni kiboko ya wakubwa, imewatandika wale wazee wa makumbusho kama Mara nne, assnail, man city, na wazee wa darajani wote wamechezea, tuna tatzo kubwa sana kumalizia, fellain mi huwa simuelewi, game ijayo carrick na fellain ningependa sana wapumzishwe, Morgan na Bastian wachukue dimba game itakua ngumu sana but I hope we can make it,Timu zilizocheza uwanja wa nyumbani leo zimepata wakati mgumu. Leo mmechomoa lakini West Ham wameshaweka mitego mipya. Yule kocha wa WH alimfata LVG na kumwambia, "leo kwa uzee wako na kulinda heshima yako,tulikuonea huruma uko mbele ya familia yako, nyumbani kwako lakini aga kabisa ukija London."
Matial bado anahitaji muda zaidi lakini ana kipaji.
Fainali ni kati ya WH na Everton kama hazitapangwa pamoja nusu fainali.
Umeshakubali kuwa WHU ni kiboko ya wakubwa na hilo ndilo linalotegemewa kwenye mechi ya marudio.Mkuu WHU hii timu ni kiboko ya wakubwa, imewatandika wale wazee wa makumbusho kama Mara nne, assnail, man city, na wazee wa darajani wote wamechezea, tuna tatzo kubwa sana kumalizia, fellain mi huwa simuelewi, game ijayo carrick na fellain ningependa sana wapumzishwe, Morgan na Bastian wachukue dimba game itakua ngumu sana but I hope we can make it,
Yule payet yule muacheni tu, ana deserve mshahara anaopata,
Hahahaaaaa Nonda unapocheza na westham hutakiwi kuwa na uhakika 100% jamaa wabishi sana, ila niwazuri sana wakiwa away kuliko home kama umefuatilia sana mechi zao,Umeshakubali kuwa WHU ni kiboko ya wakubwa na hilo ndilo linalotegemewa kwenye mechi ya marudio.
Kwa sababu mpira una matokeo ya aina mbili tu kwa hatua iliyobaki, endelea kufanya maombi. Nakusudia kumwomba bandugu Ntuzu na Mentor washirikiane nawe kwenye maombi.
Wewe jipe matuamini lakini sioni vipi utakiepuka kikombe. Unajua "Yesu" aliomba pia lakini kikombe alikinywa kwa mujibu wa wanadini/wanaimani.Hahahaaaaa Nonda unapocheza na westham hutakiwi kuwa na uhakika 100% jamaa wabishi sana, ila niwazuri sana wakiwa away kuliko home kama umefuatilia sana mechi zao,
Brilliant game...see you at Upton Park
Acha ushabiki wa kimaandazi chifu...West Ham wameshawahi kushinda kwenye stage kama hii OT kwa Di Canio kufunga goli la ushindi (kama nakumbuka vizuri kuhusu goli la ushindi). Hapo ni chini ya United. Sasa hiyo ya mighty has fallen kisa matokeo ya droo, ni ushabiki maandazi.Lool..how the mighty have fallen
Westham fans ndiyo wanaolalamikia draw sahiv tena OT..
bet yangu ipo kwa West Ham kushinda hii FA cup msimu huu.
And that's the thing...watakuwa na pressure zaidi kwa sababu yupo nyumbani...United MUST capitalise on that..Hahahaaaaa Nonda unapocheza na westham hutakiwi kuwa na uhakika 100% jamaa wabishi sana, ila niwazuri sana wakiwa away kuliko home kama umefuatilia sana mechi zao,
Acha ushabiki wa kimaandazi chifu...West Ham wameshawahi kushinda kwenye stage kama hii OT kwa Di Canio kufunga goli la ushindi (kama nakumbuka vizuri kuhusu goli la ushindi). Hapo ni chini ya United. Sasa hiyo ya mighty has fallen kisa matokeo ya droo, ni ushabiki maandazi.
And that's the thing...watakuwa na pressure zaidi kwa sababu yupo nyumbani...United MUST capitalise on that..
lol, and vipi kuhusu your away form msimu huu?And that's the thing...watakuwa na pressure zaidi kwa sababu yupo nyumbani...United MUST capitalise on that..
Sawa basi braza...hiyo ndiyo fact..United will lose...hiyo ndiyo fact.
Naona umeibuka................Lool..how the mighty have fallen
Westham fans ndiyo wanaolalamikia draw sahiv tena OT..
bet yangu ipo kwa West Ham kushinda hii FA cup msimu huu.
Nimesikitika tu kuona kwenye mitandao hammers fans wanalalamika na kuumia kutoa draw na united pale OT..Naona umeibuka................
Wangesikitika zaidi kama ingekuwa draw na Liverpool maanake ni wateja!Nimesikitika tu kuona kwenye mitandao hammers fans wanalalamika na kuumia kutoa draw na united pale OT..
Yaani ukiwasikiliza washabiki wa liverpool,arsenal,chelsea utafikiri man utd iko bottom three wakati tuko juu ya liverpool na chelsea na arsenal sijui katuzidi points nne hivi. Lakini nilichogundua ni kuwa walizoea united inawaacha points 10+Sawa basi braza...hiyo ndiyo fact..United will lose.
Hahahaha sasa mbona hajasaidia kituMy name is......
![]()
Habari zenu ndugu zangu
Wanajifariji kwa kuondoa stress za timu zao..Yaani ukiwasikiliza washabiki wa liverpool,arsenal,chelsea utafikiri man utd iko bottom three wakati tuko juu ya liverpool na chelsea na arsenal sijui katuzidi points nne hivi. Lakini nilichogundua ni kuwa walizoea united inawaacha points 10+