Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

CdckbtYXIAAfHfS.jpg
 
Bastian alileta uhai sana pale kati...ila MOTM leo naona ni Herrera, kakipiga sana leo...Depay anazidi kukua...Rashford ana killer instincs pale mbele...Varela anaelekea kuwa combo ya G. Neville na Rafael...Martial sina maneno juu yake, it's a bargain...#TheFutureIsBright
 
I don't care what people say, martial is a world class
Timu zilizocheza uwanja wa nyumbani leo zimepata wakati mgumu. Leo mmechomoa lakini West Ham wameshaweka mitego mipya. Yule kocha wa WH alimfata LVG na kumwambia, "leo kwa uzee wako na kulinda heshima yako,tulikuonea huruma uko mbele ya familia yako, nyumbani kwako lakini aga kabisa ukija London."
Matial bado anahitaji muda zaidi lakini ana kipaji.
Fainali ni kati ya WH na Everton kama hazitapangwa pamoja nusu fainali.
 
Habari gani si marehemu hizi homa zetu za vipindi zitaisha tutarudi kuwa man u ya ukweli.Bastian ana moyo wa kupigana alipoingia game ika change.
 
Back
Top Bottom