Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Boxing day mtu kapewa box zake mbili
😂😂😂😂😂
 
Moyes mlisema hayo hayo na akija mwingine mtasema hayo hayo. Bila usajili makini na kuzubaishwa na majina makubwa huku Kiwango ni kimeo hata apewe Mourhnio au Pep Gardiola bado kufungwa Kipo palepale

Unataka asajiliwe Messi au Neymar ?
Kocha bora lazima uweze kufanya kazi na wachezaji waliopo,tuna wachezaji wazuri sana labda striker ndio shida.Philosophy ya LVG haiwezi kufanya kazi kwenye EPL ya sasa
 
Duh!yaani timu yetu imefikia hapa!bado ni mshabiki wa timu hii japo tunapita katika kipindi kigumu.
Falsafa za LVG ndo zimetufikisha hapa kuna mwaka babu alikuwa na majeruhi tunacheza na arsenal hakuna alie amini kina pacha wale wakawa wanatupia tu nyavuni 70%walicheza mabeki na tukashinda 4.
 
Zama bado. Ni kama kitabu tu, hii aya ya sasa sio nzuri. Aya inayofuata itakuwa bora;chini ya Mou?

EPL imeboreka zaidi, pesa haininui kikombe! Ni cohesiveness!
Kama wataendelea kumwaga pesa kununua vikombe, zama hizo hazipo! Barca wenyewe hawafanyi half a overhaul. Ni unaongeza tu wachezaji wawili au watatu ktk msingi, msingi wa united umebomolewa tayari.
 
Sisi arsenal wala hatuna presha ya kuhangaika na mzee wetu kwani anatuokoa wakati wa shida.hongera arsene wenger
 
EPL imeboreka zaidi, pesa haininui kikombe! Ni cohesiveness!
Kama wataendelea kumwaga pesa kununua vikombe, zama hizo hazipo! Barca wenyewe hawafanyi half a overhaul. Ni unaongeza tu wachezaji wawili au watatu ktk msingi, msingi wa united umebomolewa tayari.

Uko sahihi.

Nionavyo, kwa sasa "chasis" ya ManU haina tazio kubwa sana ila shida ipo kwenye "engine": Kocha...
 
Costa has been booked for Chelsea. That?s him suspended for the match against Manchester United that could resemble too injured old war veterans pushing each other lamely.
 
Back
Top Bottom