jd41
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,756
- 4,849
Utoto ndio uliompa mimba mamako
...unaendelea kuthibisha ulivyo mpumbavu,brainless idiot!
Utoto ndio uliompa mimba mamako
...unaendelea kuthibisha ulivyo mpumbavu,brainless idiot!
Na wewe unapoteza muda kubishana na mpumbavu... Mamako alikuzaa vichakani
Tumeshakuwa kama Chelsea sasa..Mbona kama mtu mzima anaadhirishwa mchana aisee
...ndo nimemaliza kubishana na gogo;naendelea kuwasoma wapenzi wa mpira,sitaki kuwaharibia uhondo wao..
Tumeshakuwa kama Chelsea sasa..
Juzi au jana nilisema siamini kuna watu wanatetea uozo huu....Na walijitokeza kutetea uozo huu na leo watajitokeza tena kutetea uozo huu!!! LVG IS USELESS, HE HAS NO CLUE!!!!! Kaishiwa mbinu hana jipya GBP 250M ndio matunda yake haya.....afadhali ya D.MOYES kwa kweli.....
Nilikuwa naangalia mpira bar nimerudi home kulala huyu mpuuzi anaendelea kuniharibia festive season yangu.......
Timu yetu mbovu duuuhLabda mshinde njaa.
Juzi au jana nilisema siamini kuna watu wanatetea uozo huu....Na walijitokeza kutetea uozo huu na leo watajitokeza tena kutetea uozo huu!!! LVG IS USELESS, HE HAS NO CLUE!!!!! Kaishiwa mbinu hana jipya GBP 250M ndio matunda yake haya.....afadhali ya D.MOYES kwa kweli.....
Nilikuwa naangalia mpira bar nimerudi home kulala huyu mpuuzi anaendelea kuniharibia festive season yangu.......
Na hizi backpass nazo zinapoteza dk tu....aargh